Recent content by kj 403

  1. K

    Uzi wa kutafutana waliopoteana kwa muda mrefu

    Amina Ayubu huyu tulisoma nae Morembe sec. Nimempoteza muda mrefu sana mnyamwezi kabila lake, Na rafika yangu mmoja alikuwa anaitwa Lucas classmate wangu hao sijawahi waona tangu tulivyo achana.
  2. K

    Ukraine: Iron Dome ya Israel haiwezi mudu kuzuia makombora ya Urusi, Iron Dome imeundwa kuzuia makombora dhaifu yatengenezwayo gereji kwa tech duni

    Baada ya hii vita nchi nyingi zitajikita kutengeneza siraha tofauti tofauti zenye uwezo zenye Teknolojia ya juu, Israel kaipa hio protector jina kubwa tofauti na jinsi ilivyo fanya kazi, muda huu ndio wa kajaribu siraha kila mmoja alizotengeneza.
  3. K

    Waliogundua pasi, chanuo, baiskeli na kisamvu wanachukuliwa poa ila ni magenius

    Msimsahau jamaa wa chumvi ila wa chumvini huyo tumkute jahanam.
  4. K

    Rafiki yako akimtongoza mke wako umfanye nini?

    Mkuu kwanza pole sana mke anauma sana aisee sisi tulio oa ndio tunajua, We kaa na mkeo ndugu usiache kila siku kumfundisha na kumuonya taratibu taratibu na kum care usiache kumkumbusha mmetoka wapi na mnakokwenda ni wapi, Halafu wewe cha msingi muite huyo jamaa upate na mtu mwingine umshauri...
  5. K

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kama tungeliweza kujua Nato na Russia wanachotaka kufanya nyuma ya dunia hii tunayoiona sisi kwa macho ya kawaida hakuna mtu angejisumbua, Kilichoko nyuma ambacho hakijafunulia ni kikubwa sana tofauti na tunachokijua tungepata kukijua ingetusaidiwa kupata muongozo kujua Lengo la hii vita tofauti...
  6. K

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ngoja nikuache na mahaba yako endelea kuamini hivyo nisijichoshe kukuelewesha we elewa hivyo hivyo..
  7. K

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mkuu si utumie akili yako vizuri yani Russia awe miaka 100 mbele..!? Ongea point mkuu uwache mahaba.
  8. K

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    We ndio hapo hukumuelewa jamaa na ume comment kishabiki maana jamaa yeye ameongelea Tanks wewe unaruka na jambo lingine Hizo T80, T90 na nyinginezo Russia alikadiriwa kuwa na Tanks kama 2560.
  9. K

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ye atakuwa kakaa mafichoni wakati kijana wa mama watu anapoteza uhai vitani maana yeye ni msemaje tu wapiganaji ni wengine kabisa sababu wanafata order, Mjinga kama wewe wa kijiweni unashabikia vita pole sana,
  10. K

    Baba ametukataza kumlipia faini ya mbuzi 5, eti bora apewe adhabu yao ya viboko kama kufa afe tu

    Na wengi mnaotetea mna tabia kama zake ndio maana mnaona yuko Sawa lakini ana makosa na si wendawazimu huenda walisha wahi wasiliana nae wakamshauri ila hakujali, tunasema tu hapa jukwaani kirahisi rahisi ila yakikupata matatizo watajitenga nawe, hapo sasa kama umetoka na majirani zako na jamaa...
  11. K

    Baba ametukataza kumlipia faini ya mbuzi 5, eti bora apewe adhabu yao ya viboko kama kufa afe tu

    Baadhi wengi humu mnatetea ujinga aisee huyo mzee ana makosa kaa ndugu zako vyema tangu 2017 hajaenda kwao hii ina maana misiba ikitokea haendi hata rambi rambi hatoi mtu wa namna gani huyo. Wao hata hawamkomoa wanachofanya ni kumuweka karibu yao atoe tu faini.
Back
Top Bottom