Hata mimi nayatamani sana haya maisha, ila nawaza pindi nitakapokuwa na watoto, nitawapa maisha magumu kidogo kwenye mambo mbalimbali kama shule n.k. Haya maisha ni yakuishi wakat unapesa za kutosha au ukiwa na uwezo wa kuingiza pesa hata ukiwa mbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.