Recent content by Kizito16

  1. Kizito16

    Aliyefeli Form 4 anaweza kurudia Form 3 shule ya serikali?

    Habari Wana Jambo Naomba kujua kama kuna Uwezekano kwa Mwanafunzi aliyefeli Kidato cha nne kwa alama div 4 30 mwaka Jana, anaweza Kupata nafasi shule yoyote ya serikali arudie kwa kuanzia Form 3.
  2. Kizito16

    Naomba kujuzwa utaratibu wa kumhamisha mwanafunzi wa Form 1

    Naombeni kujua ni utaratibu gani nifate ili nimuamishe mtoto wa kidato cha kwanza kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.
  3. Kizito16

    Kumuhamisha mwanafunzi wa form one

    Wakuu naomba kujua taratibu za kumuhamisha mwanafunzi wa kidato cha kwanza kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine. Natanguliza shukrani.
  4. Kizito16

    MSAADA: Mtoto kutoa mate kila mara!

    Hii Njia Noma Sana
  5. Kizito16

    Tatizo la mtoto kutokwa na mate yenye Mapovu kila akiamka

    Habari Wana Jamvi Nna Kijana Wangu ana Miaka 3 ameanza tatizo la kila akilala na Akiamka anakuwa anatokwa na mate Yenye Mapovu Na Anahema Kwa Shida. Tumeenda Hospitali Kadhaa Akipewa Dawa Zinamtuliza then Hali Hiyo inamrudia. Anayeifahamu Hospital au Dawa Nzuri inayoweza Kumsaidia. Natanguliza...
  6. Kizito16

    Naomba kujua tiba ya ongezeko la damu mwilini?

    Nashukuru Kwa Mawazo Mkuu
  7. Kizito16

    Naomba msaada, Mbegu zangu zinatoa harufu mbaya

    Mkuu Kula Sana Mananasi Hyo Harufu itakata.
Back
Top Bottom