Habari Wana Jambo
Naomba kujua kama kuna Uwezekano kwa Mwanafunzi aliyefeli Kidato cha nne kwa alama div 4 30 mwaka Jana, anaweza Kupata nafasi shule yoyote ya serikali arudie kwa kuanzia Form 3.
Habari Wana Jamvi Nna Kijana Wangu ana Miaka 3 ameanza tatizo la kila akilala na Akiamka anakuwa anatokwa na mate Yenye Mapovu Na Anahema Kwa Shida.
Tumeenda Hospitali Kadhaa Akipewa Dawa Zinamtuliza then Hali Hiyo inamrudia. Anayeifahamu Hospital au Dawa Nzuri inayoweza Kumsaidia.
Natanguliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.