Inaonekana mwalimu wako wa kiswahili hakukusaidia kwani mtu kurudia rudia ni katika khali ya kuvuta usikivu na utulivu wa hadhira ili aweze kufikisha ujumbe wake na si kwamba jamaa hayuko makini.Ila tumeshakuzoea huwa hukosi cha kuongea mzazi siku zingine uwe unakaa kimya basi kama huna cha kusema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.