Recent content by KIYENZEL

  1. K

    Nafasi 150 za uhakimu makama ya mwanzo

    Mzazi walimu wenyewe pamoja na degree zao wanapelekwa shule za kata kwa hiyo si nyie tu hata huku kwetu yapo
  2. K

    Kuni.........kuni.........kuni ......kuni

    Inaonekana mwalimu wako wa kiswahili hakukusaidia kwani mtu kurudia rudia ni katika khali ya kuvuta usikivu na utulivu wa hadhira ili aweze kufikisha ujumbe wake na si kwamba jamaa hayuko makini.Ila tumeshakuzoea huwa hukosi cha kuongea mzazi siku zingine uwe unakaa kimya basi kama huna cha kusema
  3. K

    To anyone,,,Application Letter

    kuna mijamaa humu ndani kazi yao ni kukatisha tamaa watu na kujidaii kwa kuwa mwenyewe ina kazi inaona ndio imemaliza kila kitu
  4. K

    for job seekers please try this

    free masons!!!!!!!!!
  5. K

    Part-time job Arusha

    mdau ndyoko View Profile View Forum Posts Private Message Add as Contact Send Email aliyeshimba hamkumbuki mwenye njaa ehh!!!Sio nadandia gari kwa mbele anza mwanzo
  6. K

    Part-time job Arusha

    mdau mikataba feki mbona kimya au
  7. K

    custom officer TRA!

    Watu walishaanza kazi ndugu yangu!!!Kutokana na ukata hata trainning CCp hawajapelekwa wamepelelkwa moja kwa moja kwenye vituo vyao vya kazi
  8. K

    Part-time job Arusha

    MKUBWA WA MOSHI MI PIA NIKO MOSHI NIELEKEZE NI NGO IPI HIYO KUNA PART TIME KAKA NINA BA(ED) history &P.S nitafute kaka 0767227521
Back
Top Bottom