Tulioshuhudia uchaguzi wa 1995 tulijua nini kitatokea. Nguvu ya mrema ya wakati ule ilikuwa kubwa kuliko ya Lowasa, halafu alijitoa CCM mapema akazunguka nchi nzima kabla ya kampeni kuanza.
Huwezi kushida uraisi kwa kutegemea mashabiki bila mfumo wa kichama, mfumo wa CDM ulisambaratika baada ya...
Mabadiliko lazima yawe chanya, kama wewe umeajiri mfanyakazi atakapo staafu lazima uajiri mtu anayeweza kufanya kazi kama aliyeondoka au mwenye uwezo zaidi yake. Ukiajiri ZEZETA hayo ni mabadiliko ?? Wanaojifanya kuleta mabadiliko kwa kutumia fedha zao ni matapeli wa kuogopwa kama ukoma. Mungu...
Sasa ninaamini Mbowe ameuza CDM na Issue hapo ni vitalu vya mafuta na gesI. Na yale mabilioni yaliyokamatwa Dodoma toka kwa Manji yalikuwa ya kuhonga ili wajumbe wamkatae Magufuli. Basi hii imekula kwao
Wanawake wa Tz ni wa ajabu sana. CCM wanataka Samia awe makamu wa rais, ACT wanataka Anna awe raisi. Kwenye hotuba zao walikuwa wanaelezea changamoto na kwamba hawataki nafasi za kupewa bali zenye maamuzi. Hivi ni kwa nini hawakuwaita Samia na Anna wawaeleze matatizo yao na kwamba hawa akina...
Timu EL ilitumia mwezi mzima kukusanya wadhamini laki nane chi nzima kule CCM, Tume ya uchaguzi imetumia siku 14 kuandikisha wapiga kura 2.7m mkoani Dsm. Haiwezekani kupata wadhamini 1.6m kwa siku mbili na form ziwe zimerudi makao makuu. Vinginevyo tungeshuhudia misururu ya watu kwenye maofisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.