Recent content by kiwori anne

  1. kiwori anne

    Mbowe: Halima Mdee na Wenzake waache mambo ya Kihuni

    Yani hayo maneno ya mwisho ,Yameniliza ,huruma ya ajabu!
  2. kiwori anne

    Nauza nguo za mtumba za watoto

    Picha weka
  3. kiwori anne

    Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba sehemu mbalimbali Dar na Pwani

    Mwaka 2018 nilitapeliwa Happ lolanzi,kumbe eneo lilikuwa la serikali kujenga hospital ,mpaka matofal na mchanga vikapotelea huko,inawezekana vipo ila kuwa makini Happ lolanzi hospital ,? Jipange utalizwa
  4. kiwori anne

    Ndoto hii ina maana gani? Je, ni walking dead?

    Hamna kitu hapo,mama was Yesu hawezi kukuombea,never Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
  5. kiwori anne

    Plot4Sale Viwanja Misugusugu

    Kl ngp toka road
  6. kiwori anne

    Baraza kuu Chadema lasogezwa mbele

    Acha ramli
  7. kiwori anne

    Mwezi wa Ramadhan: Zifahamu faida za kisayansi za kufunga kula chakula wasizozifahamu wafungaji

    Asante,ila swali kwa nin juice au uji usio na sukari,tupe somo sukari inaleta uharibifu gani ukianza nayo? Najua sukari siyo nzr ikizidi ila fafanua Hapo kidogo
  8. kiwori anne

    Simiyu: Mganga wa kienyeji ajenga madarasa ya shule, achimba kisima, aweka solar

    Akili za watoto wetu asijezihamishia tu kilingeni kwake .
  9. kiwori anne

    Sasso vs Kroiler

    Kwa hiyo tulikula kibudu?
  10. kiwori anne

    INAUZWA Karibu nikuuzie mikeka laini ya kupumzikia, kulalia na hata kupatia chakula

    Tamdika chini upige picha,tuone vizuri ukubwa wake na uzuri wake,lakini chepesi?
  11. kiwori anne

    Nawezaje kuiokoa familia yangu na mateso ya jini huyu?

    Damu ya Yesu inatosha ...jini mahaba huyoooo,kimbiza.. Call 0652132665 .Yesu anatosha . Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom