Recent content by Kiwanuka

  1. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

    Kwani nchi zima wasukuma Ndo wanakula vyakula duni tu??
  2. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

    Kama una namna ya kuwa saidia fanya hiyo utapata swawabu ni jambo la huzuni watu kukosa chakula
  3. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Piteni hapa kwa wale waliomdhihaki Magufuli kuhusu chanjo ya Corona

    Kwa kwel tena wanawaona kama malaika vile na kila kitu wanafanya ni sahihi[emoji57]
  4. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Kwani haiwezekani tukawa watu wa kufanya mambo chanya?

    Kwakwel maan udhalimu, uongo, wizi, uuwaji, utapeli n.k ni ustaarabu
  5. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Kwani haiwezekani tukawa watu wa kufanya mambo chanya?

    Haya mambo haya hitaji hasira wala panic ushawahi husika katika hayo kwani
  6. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Kwani haiwezekani tukawa watu wa kufanya mambo chanya?

    Sababu sikujifanya yesu hapana ila ndo ukwel umeona fikra zako sasa zilivyo kaa jitafakari usipo ona shida katika fikra zako ujue niliozungumza yanakuhusu kwa namna moja au nyingine unaonyesha fikra ya ubinafsi Isiyo kawaida
  7. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Kwani haiwezekani tukawa watu wa kufanya mambo chanya?

    Hiki ndo nilikuwa naongelea basi nimezungumza ukwel
  8. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Kwani haiwezekani tukawa watu wa kufanya mambo chanya?

    Miaka ya leo kila mtu amekuwa wa kujifikiri yeye tu na kufanya mambo ya kumnufaisha yeye bila hata kujali kama anawaumiza watu wengine kwa yale anayoyafanya chanjo zaidi ni pesa ambayo watu wote wamekuwa wakiitolea macho hata kama kwa kuipata atamdhulumu mwingine Utu umepotea ubinadamu haupo...
  9. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Sijui dunia inaenda wapi!

    Kwakwel kabisa
  10. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Sijui dunia inaenda wapi!

    Upo sahihi pia
  11. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Sijui dunia inaenda wapi!

    Toa la rohoni tuu mkuu litakutesa likibaki hii inchi ya uhuru kaka
  12. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Sijui dunia inaenda wapi!

    Ni mekuelewa tayar
  13. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Sijui dunia inaenda wapi!

    Ni mekupata na hayo mambo ni kama yapi kwa mtazamo wako mkuu
  14. Kiwanuka

    JamiiForums Tanzania Sijui dunia inaenda wapi!

    Hebu ona sasa kama hapo ni aibu tupu kwa wanawake afu ona mwanaume alichokifanya yeye kajificha dah! Dada zetu tunakoelekea ni kubaya sana [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] na hii dunia ya leo ukiongea kitu mpka mtu akuelewe sijihi na matusi ushatukanwa
Back
Top Bottom