Pia kumfananisha Magufuli na Mungu, utakuwa umelenga shimoni.....
Kumfananisha padre Mapunda na Musa ni mahali pake umepatia.
Magufuli mfananishe na Farao wa Misri....
Kuwa na amani, taifa haliwezi kugawanyika na jeshi la polisi lipo kuhakikisha mtukufu hakosolewi.
Taifa mtaligawanya wenyewe kwa mikono yenu wala hatuna muda mrefu.
Kufanya kazi kunahusiana nini na kuuzwa kwa hotels mashuhuri jijini Arusha? Kila mtu humu anafanya kazi hakuna asiyefanya kazi. Lazima tunaposikia au kuona jambo haliko sawa tuulizane.
Kwakweli huko tuendako hali ni tete wala siyo uongo. Nimesoma matangazo Mount Meru Hotel inauzwa na Snow Crest ipo kwenye process ya kupigwa mnada.
Halafu tunaambiwa uchumi unapanda
Kuzaa sana au kutokuzaa sana hakumaanishi uwezo wa nguvu za kiume au upungufu wa nguvu za kiume.
Kuna statement niliwahi kuiskia kuwa "mwanamke akikaa muda mrefu bila kuguswa, ni rahisi kushika mimba akiingiliwa wakati wowote baada ya menstrual period" though I'm not certain sure.
Kama ni...
Upungufu wa nguvu za kiume kila mtu anazo sababu na chanzo cha tatizo kwake.
Ila tatizo kuu ni kuathirika kisaikolojia. Mfano mimi nikiwa sina pesa nakuwa na stress hata sex nikifanya nnakuwa mbali kifikra.
Kizazi chetu nacho ili kuandaa mazingira mazuri ya sex lazima wallet ikunjuke na balaa...
Watanzania tunaumia sana kwa kodi hizi za kukomoana. Ile ahadi ya rais wa wananchi masikini hapa inatenda kinyume chake.
Watakaomudu kutembelea magari binafsi ni matajiri tu. Siye masikini tutaishia kuomba lift
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.