Sio kama kuna sehem unakwenda kulipia unatakiwa kuwa na atm card ambayo inauwezo wa kufanya on-line transactions kama haina uwezo huo unaweza kwenda kwa bank husika ukawaambia waiwezeshe kufanya hivyo ni bureee.
Ku uninstall hiyo appl sio solution sahihi maana identification inafanyika kwa sim card hivyo hata kama utaweza kuuninstall halafu unatumia number ile ile itakuwa ni kazi bureee labda ubadilishe sim card nyengine kama unataka tumia ile ile unabidi ulipe tuuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.