Mkuu sikuja kumsema mke wangu hapa kwenye kadamnasi Bali nimeleta changamoto yangu Kwa kutumia fake ID niweze kusaidika. Kwanza ninampenda Sana na nimeipokea hii changamoto na ndio maana nimeanzisha Uzi niweze kumsaidia.
Shuka ziko pair nyingi Ila shida ni kwamba huwezi tunza shuka zilizolowana...
Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).
Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.