Recent content by kiungo pundamilia

  1. K

    Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

    Mkuu sikuja kumsema mke wangu hapa kwenye kadamnasi Bali nimeleta changamoto yangu Kwa kutumia fake ID niweze kusaidika. Kwanza ninampenda Sana na nimeipokea hii changamoto na ndio maana nimeanzisha Uzi niweze kumsaidia. Shuka ziko pair nyingi Ila shida ni kwamba huwezi tunza shuka zilizolowana...
  2. K

    Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

    S Mke wangu ni Mdigo kutoka Tanga
  3. K

    Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

    Sawa, napata wapi? Maduka ya magodoro? Ma hospitali?
  4. K

    Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

    Sasa mkuu je watoto wakikua si watajua Hali hii? Na je binti wa kazi nae? Maana Naona ni Hali inayomfadhaisha mke wangu
  5. K

    Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

    Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa). Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka...
  6. K

    Kuishi na Mashabiki wa Simba inaitaji moyo sana

    Mimi huwa nawafananisha mashabiki wa Simba na madereva bodaboda
  7. K

    Al Ahly Fans Tukutane Hapa

    Watapigwa paka wang'oe viti
  8. K

    Endapo Simba ingempata kiongozi kama Eng Hersi, Leo hii ingekuwa ni bingwa wa Africa

    Timu imejaza viongozi wazee waliojichokea inapiga vipi hatua?
Back
Top Bottom