babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 328
- 813
Msimu ulioisha alimkanyaga teke la usoni kiungo wa Yanga Sure boy nusura amuuwe na refarii alimwangalia tu. Hata kamati ya nidhamu ya TFF nayo haikuto adhabu yoyote.
Tulipiga kelele sana achukuliwe hatua za kinidhamu ikiwemo kufungiwa ila haikusaidia kitu kwani aliendelea na uchezaji wake wa Kung Fu huku akiumiza wachezaji wa timu pinzani.
Sasa Mungu sio Athumani, Wacha Karma ichukue mkondo wake
View attachment 2758487
Tulipiga kelele sana achukuliwe hatua za kinidhamu ikiwemo kufungiwa ila haikusaidia kitu kwani aliendelea na uchezaji wake wa Kung Fu huku akiumiza wachezaji wa timu pinzani.
Sasa Mungu sio Athumani, Wacha Karma ichukue mkondo wake
View attachment 2758487