Umemsingizia, hujui unachotaka na unacho kitetea. JPM si ameisha kufa Sasa unayasema hayo Ili ajisahihishe au aache? Mbona miaka ya utawala wake hukuonyesha Kwa vitendo kwamba hukubaliani na anayo yafanya? Inawezekana wewe ni wale waliokuwa washauri wake wakuu!
Sasa unashauri tumfanye nini huyu Magufuli Ili asiendelee na hii tabia yake. Au aletwe kwanza mbele yako ajitetee (kusudi tufuate utawala bora na haki)! Unasemaje kuhusu hilo?
Enzi za utumwa, mtumwa asiye na akili za kumtosha, alikuwa na mawazo kwamba aliyemnunua ana haki naye! Na alikuwa anaeleza kuwa bwana wake katumia hela nyingi kumnunua! Hata alipo kuwa akiadhibiwa, alikuwa anafurahia adhabu, Kwa sababu anazihurumia zile gharama boss wake alizotumia kumpata! Wewe...
Watanzania hawana shukrani! Hata Kiongozi wetu Raisi mustaafu Kikwete, katika hotuba yake wakati wa kufungua Ikulu - hakumtaja Dr Magufuli kwa jina lake! Aliishia kusema "awamu ya tano". Sijui anaogopa nini!
Akili ya maandazi na mkate - short term (Afadhali kila mmoja wetu apewe mkate, maandazi na vitumua anywee chai yaishe! Kwani sisi tuna mizigo ya kusafirisha SGR?) - SGR Kwani itaishia lini! Mimi hainihusu - Nina umeme wa solar bulb 2! Umeme Wa bwawa la Nyerere wote wa nini!
Ndiyo mawazo yako mkuu!
A
Alikuwa mzalendo haswa maana yeye, wana sema alikuwa ana suruali nne tu na shati kama 3 tu! Mzalendo haswa, wakasema pia alikuwa masikini na mtu wa kawaida! Kwamba alikuwa na ng'ombe zaidi ya 50,000! Na wanawake zaidi ya mmoja!
Ila walisahau kwamba, maasai - utajiri wake na utajiri wa...
Kama za Mkoa wa Mara zilivyokaliwa na wajaluo (Kenya) , Arusha wamasaai (Kenya) Mtwara na Lindi wamakonde (Nchumbiji) - Ruvuma wangoni na wayao (Malawi) - Kilimanjaro pia na Kagera upande wa mpakani na Uganda! Pia Mpanda,Katavi, Sumbawanga (Zambia) - Kigoma wamanyema (DRC).
Kwa hiyo Usishangae...
Hivi dada yako (dakitari), kweli hakujua kuhusu corona?! Ndiyo hayo hayo yanayo mshangaza Mh. Msukuma. Au dada yako alikuwa anahonga na kupewa maksi tu! Hivyo siyo kweli kwamba baba alimsomesha kwa gharama kubwa! Matokeo yake - ukipewa degree bila kufahamu kitu darasani, kitakacho kuua hutakijua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.