Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,794
Hahaha ila deni lilikuwa linazidi kupaa...labda kuna chuma uleteMwanzo tulikua hatukopi ni Fedhwa zetu walipakodi sisi matajili
Hahaha ila deni lilikuwa linazidi kupaa...labda kuna chuma uleteMwanzo tulikua hatukopi ni Fedhwa zetu walipakodi sisi matajili
Hatari na nusuMahitaji ya nyakati... Hizi sio pepo za kusi tena
Unajua dhambi hiyo? kumsingizia marehemu! labda hujui historia ya marehemu tukukumbushe,mwendazake aliwahi kushusha bei ya kujenga barabara za lami chipping kutoka bilioni 1.2 hadi moja kwa miaka mingi bei ikaendelea kuwa ileile aliokoa shilingi ngapi hadi leo kwa nini asingechukua hongo kama wenzake tukaendelea kupigwa.Safi tutakuwa na vyanzo vingi vya umeme. Kidato, Hale, Rufiji na Malagalasi ni hatua nyingine.
Nimewaza tu. Mwendazake mradi Kama huu ungegharimu mara tatu ya hii gharama alafu tungeambiwa tunajenga kwa fedha zetu tutembee kifua 'mbere'
kUMBUKA KUNA MRADI MWINGINE WA UMEME WA MTO LUMAKALYA MEGAWAT 232.Mahitaji ya umeme nchi nzima bwawa la nyerere kukamilika tunabakiwa na ziada tutauza kwa majirani
Malagarasi ya nini Tena?ikiwa nyerere dam haijakamilika?tukamilishe rufiji ikiwa hautishi tutatafakari muda ukifika hiyo peas ya mikopo........
Wewe unadhani ni kwa nini?Mbona miradi imeanza kwenda kwa kasi sn Kigoma?
VPWewe unadhani ni kwa nini?
Umeme ni biashara mkuu, tutauza kwa jirani.Mbna mradi wa JNHPP unatosha sana au ni upigaji huu
Wale wamezoea shidaOK, mbona Mtwara na Lindi, pamoja na korosho zao sioni miradi mikubwa ikipelekwa?
Wa kumtetea hayati JPM hawatakuja kupungua hata siku moja.Unajua dhambi hiyo? kumsingizia marehemu! labda hujui historia ya marehemu tukukumbushe,mwendazake aliwahi kushusha bei ya kujenga barabara za lami chipping kutoka bilioni 1.2 hadi moja kwa miaka mingi bei ikaendelea kuwa ileile aliokoa shilingi ngapi hadi leo kwa nini asingechukua hongo kama wenzake tukaendelea kupigwa.
Mwendazake aliwashusha waturuki kujenga reli mpaka wakenya wakataka kushikiana bunduki baada ya kupigwa na wachina kwa kujengewa reli SGR isiyotumia umeme kwa bei kubwa kuliko ya kwetu ya umeme lakini kwa bei ndogo kuliko wao, kuhusu upigaji mwendazake mtamuonea.
Mkuu ni kweli kuwa SHIDA inazoeleka? Kwa hiyo mwendo ule bila Mama Samia, kweli tungezoea shida?Wale wamezoea shida
Huu ulipaswa kuwepo, MCC walikuwa watoe pesa tangu awamu ya kwanza ya Kikwetelkn kukaonekana vyura adimu na mradi ukafa rasmi.Mbona miradi imeanza kwenda kwa kasi sn Kigoma?
Wewe ni tumili wa ulaya tuu, hujui janja janja za jiwe wewe.Unajua dhambi hiyo? kumsingizia marehemu! labda hujui historia ya marehemu tukukumbushe,mwendazake aliwahi kushusha bei ya kujenga barabara za lami chipping kutoka bilioni 1.2 hadi moja kwa miaka mingi bei ikaendelea kuwa ileile aliokoa shilingi ngapi hadi leo kwa nini asingechukua hongo kama wenzake tukaendelea kupigwa.
Mwendazake aliwashusha waturuki kujenga reli mpaka wakenya wakataka kushikiana bunduki baada ya kupigwa na wachina kwa kujengewa reli SGR isiyotumia umeme kwa bei kubwa kuliko ya kwetu ya umeme lakini kwa bei ndogo kuliko wao, kuhusu upigaji mwendazake mtamuonea.
Umeme ushushwe bei sasa.kUMBUKA KUNA MRADI MWINGINE WA UMEME WA MTO LUMAKALYA MEGAWAT 232.
Wewe unadhani ni kwa nini?
Hahahahahahahahahaha.........
Hautoshi tunahitaji na nuclear ikiwezekana! Kusudi tuuze mpaka Africa ya kusiniKwani huu wa Rufiji hautoshi?