Recent content by Kitumb

  1. K

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 CCM mkoa wa Simiyu wagomea mkutano mkuu kwa njia ya mtandao

    Una maanisha nini?
  2. K

    JamiiForums Tanzania Balozi Kombo: Taratibu zikikamilika taarifa kuhusu Polepole itatolewa

    Hili SIO suala la wenye chama chao tena. Ni suala la kitaifa. Lazima meza ipinduke mkuu.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Makalla asema mchakato uteuzi wa wagombea CCM hadi Julai 28, 2025

    Eti fyeka. Mwakaa huu mnalo babu. NO REFORMS NO ELECTION
  4. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tundu Lissu: Sitaomba na sitaki huruma ya Mahakama, wanaoomba huruma ni wenye hatia

    Uiona wapi akiomba huruma? A
  5. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Ni kweli japo wameamua kutia pamba masikioni, hadi zilzala iwapate.
  6. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi kipindi cha Magufuli, Dr. Wilson Mahera Charles anagombea Ubunge wa CCM

    Huyu mwanadaam infact hafai hata kuongoza familia yake, anatakiwa kidume mumoja atake over!! i
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mwita Waitara ayatimba, yeye na wenzake watakiwa kumlipa Eliakim Chacha Maswi Tsh bilioni sita kwa kumdhalilisha

    Wa Waitara muda wake wa kuwa toilet paper sasa umewadiaaaaa
  8. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mhashamu Askofu Mkuu Renatus Nkwande wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza asimulia alivyonusurika kutekwa

    Hivi mpaka uwe umefanya nini? Who is ordinary and safe❓
  9. K

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Kinachoendelea mitandaoni kuhusu "No Reforms, No Election" ni UPUUZI

    Eti asilimia kubwa ya watanzania ni wakristo, serious??Utafiti wa wapi huu??
  10. K

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Kinachoendelea mitandaoni kuhusu "No Reforms, No Election" ni UPUUZI

    Huyu Gwajimanization wa CCM?
Back
Top Bottom