Recent content by kitukuu_

  1. K

    Kikwete ana siri ya makontena

    Tatizo uelewa wako ni mdogo sana nahisi hata darasani mwalimu wako alikua na kazi sana,tatizo lako unaacha hoja ya msingi unakimbilia richmond,umeshaambiwa mwakyembe alishatoa taarifa kuhusu upotevu huu wa makontena na taarifa akampelekea bosi wake ambae ni raisi,sasa baada ya hapo ulitakaje...
  2. K

    Magufuli anafanyia kazi ushauri wa TISS!

    Bila kumtaja mwakyembe hamna raha ,toka mwakyembe amgalagaze lowasa naona hamwachi kumwandama.poleni ndo kashakua waziri tayari
  3. K

    Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

    Hivi mmesoma shule gani jamani.hata kuchangamsha kichwa kidogo huwezi ,wapuuzi kama nyie mngetakiwa kuwa darasani sasahv.hv unashindwa kujiuliza kama tpa kulikua na makosa mbona hawajachukuliwa hatua.na pia unashindwa kujua namna tra inavyofanya kazi bandarini huu ni upuuzi mtupu ulio...
  4. K

    Waziri Mkuu afanya ziara ya ghafla bandari, aamrisha kukamatwa kwa maafisa wa TRA

    Tatizo mtoa mada uwezo wako mdogo sana lazima ujue namna tra na tpa zinavyo fanya kazi,kwa kukusaidia ni kwamba makontena yaliyo potea kwenye system za tpa yapo ila hayaonekani tra ,sasa haposita na mwakyembe wanaingiaje maana ulitakiwa uulize tra ambayo ipo chini ya wizara ya feza
  5. K

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Acha majungu toa sababu za kisomi ,ulitaka mwakyembe asiseme ukweli au kisa bosi wako alifukuzwa uwaziri basi ndo majungu mtindo mmoja.
  6. K

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Tatizo unauwelewa mdogo sana sijajua sababu wenda ni kiwango chako cha elimi,sasa ngoja nikufundishe ,duniani kote unapofanya manunuzi makubwa kama haya ya mabehewa ya tren au manunuzi ya ndege na vitu kam hvyo kitu cha kwanza kinacho angaliwa ni mkataba unasema nn baada ya manunuzi.tatizo sio...
  7. K

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Naskia pia ndo kanunia benki ya nbc mwakyembe anahela sana
  8. K

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Kwa hyo tumkubali lowasa na richmond yake kisa kuna wengne nao waliiba ,mnaakili ndogo hvi mnasomaga shule gani nyie au ndo bodaboda
  9. K

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    We mshamba treni jipya lilinunuliwa kipindi mwakyembe yupo uchukuzi ,fuatilia mambo kabla ya kuropoka
  10. K

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Sisi ndo wapiga kura mwakyembe kumtoa kyela ni ndoto ,jidanganye na siasa za jamii foram
  11. K

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Sera gani anazo ongea lowasa juzi hapa anfundishwa jukwaani azungumzie maji,mgombea uraisi hata hajui vipaumbele subirini mtatujua vijana wa slaa
  12. K

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    We hujui kama mwakyembe ni mwanachama wa ccm,kwa hyo kwa mawazo yako ulitaka mwakyembe asiitetee ccm,edwad hata angebaki ccm mwakyembe angemkataa tu,na kwa ufisadi wa lowasa asingepita ccm,kwa hiyo ulitaka lowasa awe na zambi mbili ndio tu mwesabie zambe.lowasa alikua waziri mkuu na anajua...
  13. K

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Na wewe ukome tena ukome kusema vitu usivyo vijua
  14. K

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Walio taabni ni wapiga dili waliouza chama sasahv wanaamisha pesa kwenye acount za nje
  15. K

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Suala sio mamvi mbona wametangaza na kesho mwakyembe analiendeleza tena
Back
Top Bottom