Recent content by kitu na box

  1. K

    Maisha bora bila "Mgomo"

    Lakin hawa CCM bwana SURE wanaboa ila sema tu ni utajiri wa akili zisizochambua na kujua hatima ya maisha yao!!!Hebu tuwe wakeli kama kwel CCM itakuwepo madarakani miaka kumi ijayo Tanz itafananaje?
  2. K

    Maisha bora bila "Mgomo"

    Ndg zangu tuko pamoja nami nimekuwepo mda si mrefu kwa hiyo kama vile bado mgeni sana hivyo tuelekezane wapi choo,bafu pamoja sehem mhim za kurefresh mind!!Ila nahisi hapa ndo nipopatafuta kitambo hata kabla ya akina macho manne japo anajifanya mjanja zaid yangu.
  3. K

    Maisha bora bila "Mgomo"

    Jamani hao wenye hilo lichama la majambawazi nao bado tu hawajashiba waachie wenye huruma na utu kwa watanzania wenye utajiri wa dhiki na benki za umaskin???????????Jaman mpaka lini sasa??? Aaaaaahhhhh basi bwana!!!!
  4. K

    Kitumbua

    Kweli we Funza nimekubali vina vyako viko juu utam wake utakuwa wa ajabu
Back
Top Bottom