Recent content by kitowowoti

  1. K

    CAG Kichere: Licha ya kupewa Ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22

    Nashauri Ile taarifa ya Mkaguzi wa ndani ndio iwe inawasishwa Bungeni,Bunge la mwezi Sept au wa kumi,hii Iko more current na uzuri mmoja haitofautiani sana na hii ya CAG ambayo inatolewa baada ya miaka miwili 2022/2023inatolewa 2023/2024
  2. K

    Mwarabu wa Dubai, Emirates National Group (ENG) wapewa kazi ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

    Kama wameamua kubinafsisha na iwe total wasimamie uendeshaji,ukusanaji mapato,Admin Yaani walipe gharama za Barbara na Kodi ya serikali basi.Udart wapewe kazi nyingine.
  3. K

    Umri miaka 91, Paul Biya Mitano mingine: tuendelee kujifunza

    CUF,DP,UDP,UDPP, na wale wengine ambao hata majina yao hayafahamiki wao ruksa kama Bia hata miongo mitano si Milango III wazi!.
  4. K

    Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ya mwaka 2024 | Tanzania Independent Electoral Commission Act, 2024

    Kuchagua M/kiti mkutano Mkuu wa CCM Dodoma wenye wajumbe zaidi ya 1200 ;upigaji,uhesabuji ,utangazji na usimikaji wa mshindi hauchukui zaidi ya dakika 90,tume huru iachane na huu utaratibu wa timu iliyokuwa si huru uchaguzi wa kata yenye wapiga kura chini ya 1000 kuchukua siku kibao ndipo...
  5. K

    Rais Samia, tusifukie Mahindi na Maharage ya Marekani, naomba tuyapeleke Haiti

    Haiti na Liberia ni mataifa yalioanzishwa tokana na watumwa walipewa uhuru wakiwa Marekani,USA inawajua na kuwajali kuliko yoyote.
  6. K

    Mimi sioni madhara endapo atajiuzulu, vipi wewe unayaona?

    Alafu hii ni hatari si kidogo,hebu fikiria akifa tu makamu anakuwa Rais,si wa muda bali wa kipindi chote kilichobaki.
  7. K

    Zitto Kabwe: Rais Samia alipaswa kutangaza kifo cha Hayati Magufuli akiwa ameshaapishwa, kitendo Cha Wakuu wa Ulinzi kuwa Watoa Taarifa ni hatari!

    Si sawa,umma unaambiwa aliyeko madarakani ameacha ofisi kwa namna yoyote Ile Kisha wakuchukua madaraka anaapishwa(mchakato)
  8. K

    CCM yashinda Udiwani Kata ya Kasingirima, ACT Wazalendo wadai kulikuwa na Kura Feki

    Kwani walikuwa pekee Yao, wale mabrief cases walioungana hukuwaona👪
  9. K

    Africa: Tanzania yashika nafasi ya kwanza kwa nchi zenye watu wenye furaha zaidi

    Never speaks their mouths/objectiveness
  10. K

    Agizo la Rais ni amri

    Mambo ni mengi,kule Duniani kulikoanzishwa local Government za ukweli Ili kuepuka na tatizo la uendeshaji wa Hamashauri zinafanyiwa tathimini za gharama za kuendesha Hamashauri,yaani Mfano Ili Hamashauri ya Wllaya ijiendedhe inatakiwa iwe na mapato ya bilioni Moja na milioni mia mbili,Sasa kwa...
  11. K

    LATRA kuruhusu daladala zenye namba E na D pekee kuingia kituo cha mabasi Mwenge wanafikira nini?

    Hivi namba ndio inaonesha upya(brand new)wa gari?.au ni chasses namba au hatua hiyo Ina maana ganiiii.
  12. K

    Kiongozi wa Bavicha, Deusdetit Soka aliyekuwa mahabusu adai amepigwa sana

    Unalinganidhaje ,hebu komandoo wa Israel akisema nimepigwa sana,na mswahili wa Unguja wakisema nimepigwa sana unalinganidhaje kwa mfano !
Back
Top Bottom