Nashauri Ile taarifa ya Mkaguzi wa ndani ndio iwe inawasishwa Bungeni,Bunge la mwezi Sept au wa kumi,hii Iko more current na uzuri mmoja haitofautiani sana na hii ya CAG ambayo inatolewa baada ya miaka miwili 2022/2023inatolewa 2023/2024
Kama wameamua kubinafsisha na iwe total wasimamie uendeshaji,ukusanaji mapato,Admin Yaani walipe gharama za Barbara na Kodi ya serikali basi.Udart wapewe kazi nyingine.
Kuchagua M/kiti mkutano Mkuu wa CCM Dodoma wenye wajumbe zaidi ya 1200 ;upigaji,uhesabuji ,utangazji na usimikaji wa mshindi hauchukui zaidi ya dakika 90,tume huru iachane na huu utaratibu wa timu iliyokuwa si huru uchaguzi wa kata yenye wapiga kura chini ya 1000 kuchukua siku kibao ndipo...
Mambo ni mengi,kule Duniani kulikoanzishwa local Government za ukweli Ili kuepuka na tatizo la uendeshaji wa Hamashauri zinafanyiwa tathimini za gharama za kuendesha Hamashauri,yaani Mfano Ili Hamashauri ya Wllaya ijiendedhe inatakiwa iwe na mapato ya bilioni Moja na milioni mia mbili,Sasa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.