Sikio liizidi kichwa,hili ni suala LA mtu mmoja mmoja,wengine ni hoby TU kusikiliza makesi,wengine kwa ajili ya kujifunza namna sheria zinavyotafsiriwa mahakamani,wengine wanataka kuona jinsi Lisu atakavyobanwa mahakamani,wengine wanataka kuona jinsi waendesha mashitaka watakavoshindwa...
Acha iyo, Unajua Musa alikuwa na kigugumizi,Mungu mwenyewe alimwambia Musa"Usiogope',Wewe utakuwa kipaza sauti changu(MUNGU)na bibilia iliandikwa kwa mfumo huo,bisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.