Recent content by kitowowoti

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali yazima matangazo yote kuhusu kamari (mkeka) nchini

    pili pili zii shambani zatuwashaje ?
  2. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wamachinga na Waendesha Bodaboda waitisha press kupinga kutokea kwenye kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu

    Sikio liizidi kichwa,hili ni suala LA mtu mmoja mmoja,wengine ni hoby TU kusikiliza makesi,wengine kwa ajili ya kujifunza namna sheria zinavyotafsiriwa mahakamani,wengine wanataka kuona jinsi Lisu atakavyobanwa mahakamani,wengine wanataka kuona jinsi waendesha mashitaka watakavoshindwa...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kongamano Miaka 61 ya Muungano Samia funga kazi. Kati ya Kero 25 ametatua 15 zimebaki 3, apewe maua yake

    Ukitaka kumficha mtu Fulani kitu kiweke kwenye maandishi"read btn line"You🔜
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kongamano Miaka 61 ya Muungano Samia funga kazi. Kati ya Kero 25 ametatua 15 zimebaki 3, apewe maua yake

    He !,ukijumlisha na saba(7)ni sahihi
  5. K

    JamiiForums Tanzania Balozi Nchimbi: Moyo wa Msamaha ndio Utakaolijenga Taifa Letu

    Very Good !.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Bora Uishi karibu Kodi kubwa ama mbali na nauli kubwa

    Yani ni mbali toka wapi kwenda wapi?😤
  7. K

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya CAG ichunguzwe, NHIF inapataje faida ?

    Eti wao ziada wanaita faida
  8. K

    JamiiForums Tanzania Heche anapolinganisha Israel na mikoa ya Tanzania ni uchovu wa kufikiri, Israel inalelewa na Marekani kama last born,wachumi wamjibu!

    Si dhani kama una takwimu.robo ya nini,,? 99% ya nini,%.Je Unajua Israel ni donor Country.
  9. K

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Wakati wa Rais Samia hati safi zimefikia 99% kutoka 89%

    rahisi,Independent body,yaani taasisi ya ukaguzi inatakiwa iwe kauzu,isiwe na uhusiano wowote,wowote na Mkaguliwa na ndipo itoe"fair &true view"
  10. K

    JamiiForums Tanzania Nabii GeoDavie: Biblia sio neno la Mungu bali ni maneno ya wanadamu

    Acha iyo, Unajua Musa alikuwa na kigugumizi,Mungu mwenyewe alimwambia Musa"Usiogope',Wewe utakuwa kipaza sauti changu(MUNGU)na bibilia iliandikwa kwa mfumo huo,bisha!
  11. K

    JamiiForums Tanzania Angalizo: Vyeo vya WHO siyo vya Urithi

    He !,walikufa mitume,manabii,wavumbuzi wa dawa za tiba na Kinga,sembuse acha hiyo Kila nafsi itaonja mauti🦴
Back
Top Bottom