Habari wanaccm wenzangu!
Kwa anayefahamu ni mjasiriamali mwenye mtaji kiasi gani anatakiwa alipie kitambulisho cha Tsh 20000/=?
Nauliza kwa sababu naona huku kwetu Mipingo-Lindi hata mtu ambaye amepanda bamia za kula mwenye nyumbani kwake siku akikosa pesa ya kusaga akiamua kuchuma fungu tano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.