Recent content by kitongakipikiqum

  1. K

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Wewe wacha kumzingua daimond wewe, ukawa ni ukasikazini wewe lofa.
  2. K

    Maendeleo ya afya ya Waziri Mkuu mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa

    Kweli na wewe ni kati ya watu ambao umepewa jina na mzee mkapa, yani linakufaa sana, kazi ya kuwa rais siyo kukaguwa madaladala, hiyo kazi alishaifanya mwakyembe kitambo.
  3. K

    Kwanini Edward Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Wewe wacha kuchezea moto:flame:, pia ikulu siyo mahali pakujaribu wewe labda kamjaribu kwa mkeo.
  4. K

    Siasa zimefikia tamati kwa hawa wafuatao

    Mbona umewasaau wengi?.
  5. K

    Team Lowassa kutoka CCM kwa kubaki CCM tupo smart

    :couch2: kiti cha moto hiki duuuu!
  6. K

    Tano bora yangu ya CCM ni hii

    Kama hayapo kyembeee aijakamilika hiyo
  7. K

    Lowassa kizaazaa; Boda boda wakinga jaribio la kudhulumiwa ujira wao

    Kweli now nimegua akili siyo nywele na hata kama ni nywele siyo nyeupe.
  8. K

    Lowassa kizaazaa; Boda boda wakinga jaribio la kudhulumiwa ujira wao

    Labda ikuluy mjomba wako ndiyo atatinga, lakini ikulu ya nyerere maweeeeeeeeeeeeeee.
  9. K

    Dr. Harrison Mwakyembe achukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Ila nyinyi na chama chenu ndiyo mnaela za kulipa faini kwa waukumiwa.
  10. K

    Dr. Harrison Mwakyembe achukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Vilevi mzee sitta katika bajeti yke alisema kuwa tatizo la mabeewa ni vipimo tu na vimesha rekebishwa na ndiyo maana bado tuna yapokea hapa nchini. Ndugu sema lingine labda unamashaka nalo na mtia nia kyembe:A S wink:.
  11. K

    Dr. Harrison Mwakyembe achukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Jamani kazi imeaanza sioni cha kumzuiya jembeeee:couch2:.
  12. K

    Dr. Harrison Mwakyembe achukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Wewe wachaushambenga wewe?, najifunze kusoma data mbuulawe, wakati anaingia uchukuzi bandali ilikuwaje na anatoka ilikuwaje?. Huyu ni kiongozi anayetufaa kwa vitendo na kumaanisha na nimuadilifu.
  13. K

    Kilimanjaro yavunja rekodi ya udhamini kwa mh. Lowassa, wanaccm 33,780 wamdhamini

    :couch2: Kisheria na kanunu huyu mzee kajimaliza na anaendelea kujimaliza, kwani anachofanya sasa ni kampeni nasiyo kutangaza nia, chama katika fom za kutafu wadhamini kimeweka bayana kuwa mtia nia ni marufuku kufanya kampeni au kutumia mabango na vitu vingine vyovyote vinavyo ashiria matangazo...
  14. K

    Kilimanjaro yavunja rekodi ya udhamini kwa mh. Lowassa, wanaccm 33,780 wamdhamini

    hapo akuna kupepe macho, jamaa kajimaliza mwenyewe.
Back
Top Bottom