Recent content by kitoli

  1. kitoli

    RC Makalla: Machinga wote Dar walio katika hifadhi ya barabara, Wataondolewa na vibanda vyao kuanzia Septemba 13, 2021

    Kupanga ni kuchagua, kama kweli ipo dhamira ya dhati inawezekana kabisa, shida ni siasa na kinyago alichotengeneza mtu kinamtisha mwenyewe
  2. kitoli

    Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

    Umesahau na Muslim Brotherhood kilichopigwa ban Misri, Ooh Mama anaupiga mwingi, huo ndo Mwingi sasa Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
  3. kitoli

    DC Jokate, huu ni muda sasa wa kubadili aina ya mavazi yako

    Hizo ni hisia zako, tuu ulitaka avae shungi kwan ofisi ya Umma ni eneo la Ibada, wacha hizo
  4. kitoli

    Kuibuka kwa wimbi la Ujambazi hasa DSM ni kukomoana ndani ya Jeshi la Polisi?

    Mwananchi wa Kawaida kwake hili ni Tishio kubwa kuliko hata Escrow. Maana shida inampata moja kwa moja.
  5. kitoli

    UTENGUZI: Rais Samia awatumbua Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi TASAC, Posta na Posta Masta. Avunja Bodi ya Wakurugenzi Posta

    Huyo Renatus Mkinga, Kumbe baada ya kumegewa cake ya nchi nae kaenda kupiga, du kweli uzalendo wa nchi hii labda uanzie chekechea.. Mishipa ilikuwa inamsimama balaa wakati wa kujenga hoja kumbe yote mipango tuu
  6. kitoli

    Ziara ya Mbowe Ikulu kama itakuwa ya kizalendo namuona Dr Tulia akikaimu Uspika na kuutwaa kabisa

    Mbowe ni Kamanda asiye na Battalion kwa sasa, Siasa zake za 2010 zilijengwa kwenye Msingi Imara ndani ya Mioyo ya Watanzania wa Kada zote, Baada ya Sayansi ya Siasa kubadilika, Mbowe bado ameendelea kutumia mbinu zile zile katika Mazingira tofauti, Ushawishi wake unapungua Siku hadi siku...
  7. kitoli

    Nchi inapata hasara ya bilioni 16.7 kutokana na ubunge hewa wa kina Halima Mdee

    Kuna issue ya Wakati na Bahati hapa, sii kila kitu lazima kiwe na tafsiri sahihi ya kisheria, hiyo ni zamu yako kwa wakati tulionao, imeambatana na bahati, so waache wachume, nawe yako ikifika kutakuwa na mfumo mwingine wa ulaji
  8. kitoli

    Makofi mengi kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Bungeni yanaashiria nini?

    PM ndo Mwiba mchungu kabatini na kwa sasa uhalisia wa kudeal na wale vichwa maji atauonesha kwa uzuri zaidi
  9. kitoli

    Makofi mengi kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Bungeni yanaashiria nini?

    Reasoned like a real Man. Huo ndiyo ukweli, kuna watakaonuna
  10. kitoli

    Hii inatokea na inawezekana tu Tanzania, hivyo acheni wenye Akili watucheke na watudharau kwani tumejitakia na tunastahili

    Ni jambo jipya, Mkishazoea ataacha na vigezo vya uchapakaz ndo vitawatuliza
  11. kitoli

    Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli

    Sisi ambao tunatumia hii mitandao ndo tunafahamu hivyo, Majority ambao kimsingi ndo watanzania wa kawaida hawawezi kuelewa mizaniavya ubaya wa kiasi hicho unaouelezea kwa Mwendazake JPM
  12. kitoli

    Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

    Acha Mihemko, ww hiyo shahada yako imekusaidia nn mpaka sasa
  13. kitoli

    2025 ili ukubalike kwa haraka, italazimu Tundu Lissu kulitaja jina la JPM kuomba kura kwa Wananchi

    Ukweli utasimama tuu, Mwanaume huyu alikuwa hauzi sura wala kupiga porojo
  14. kitoli

    2025 ili ukubalike kwa haraka, italazimu Tundu Lissu kulitaja jina la JPM kuomba kura kwa Wananchi

    Nafikiri wenye fikra kama zako ambao kimsingi ni wachache ndiyo watakaomsahau..huyu ni Mwamba katika kundi la Miamba
Back
Top Bottom