lowassa hakuhitaji sana msaada wa kikwete, kikwete analaumiwa kwa kupindisha mchakato ndani ya ccm ili kumfitini na kumdhibiti rafiki yake asipate uongozi
concept of huu muungano is not clear, wananchi hawajui tumeunganaje unganaje? wa upande huu wanapewa full access kwenye shughuli zote yaani kumiliki ardhi, kugombea uongozi,ajira etc LAKINI kulee, ng'ambo kule mtanganyika harusiwi miliki ardhi, kuchagua au kuchaguliwa nafasi za uongozi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.