Nilikua na kesi ya madai mahakama ya mwanzo ,nilimshitaki msimamizi wa mirathi kwa kuuza kiwanja cha mirathi,ila yeye akamwambia hakimu kuwa alishafanya mgawanyo wakati sio kweli,akaambiwa apeleke inventory na mashaidi,ila akaamua kufile revision mahaka ya wilaya ya ilala,anacho kisema wilayani...