Umri wangu ni miaka 32, natafuta mke wa kuoa mwenye umri kati ya miaka 21 hadi 25 awe mcha Mungu, awe na adabu njema pia awe mtulivu. Nina uhitaji kweli kweli.
Kwa yule atakayekuwa tayari tuwasiliane kupitia amosimwanza@yahoo.com
jamani kuna cheti cha form 4 original nimekiokota cha ndgu Andrew H Lyimo amesoma Arusha, pamoja na cheti cha kuzaliwa na leaving na cheti cha darasa la saba, vyote ni original. Nilivyopeleka polisiCENTRAL MOSHI wakanambia sasa watammpataje na hakuna namna ya mawasiliano yoyote. Wakaniambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.