G.P.S (KING'AMUZI) CHA MAGARI PIKIPIKI
Habari wana Jamii Forum
Ninatangaza kampuni yenu ya KITAU MOTOR GPS ( @https://web.facebook.com/KITAUMOTOR/?modal=admin_todo_tour ) inayojihusisha na biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu.
Kama mnavofahamu...
G.P.S (KING'AMUZI) CHA MAGARI PIKIPIKI
Habari wana Jamii Forum
Ninatangaza kampuni yenu ya KITAU MOTOR GPS ( @https://web.facebook.com/KITAUMOTOR/?modal=admin_todo_tour ) inayojihusisha na biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu.
Kama mnavofahamu...
G.P.S (KING'AMUZI) CHA MAGARI PIKIPIKI
Habari wana Jamii Forum
Ninatangaza kampuni yenu ya KITAU MOTOR GPS ( @https://web.facebook.com/KITAUMOTOR/?modal=admin_todo_tour ) inayojihusisha na biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu.
Kama mnavofahamu...
Karibu sana
Uko Mkoa gani?
Kwa mikoani kuna taratibu tofauti kidogo.
Kama utafunga kwenye gari, Badala ya elfu 30 ya mwezi wa kwanza, wa mikoani wanalipia elfu 60 pamoja na gharama ya kutuma mikoani. Baada ya kifaa kufika na kufungwa kwenye gari, hawatolipia kwa miezi miwili inayofuata...
Habari Wadau wa Jamii Forum,
Nimeanzisha biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu.
Kama mnavofahamu, biashara katika sector ya usafiri imepamba moto nchini.Lakini palipo na biashara hapakosi changamoto. Wizi wa vyombo vya usafiri kama Pikipiki, Bajaji...
GPS zetu zinauwezo wa kutrack chombo chochote cha nchi kavu na majini. Pale popote penye Network ya simu tunaweza operate bila shida.
Niandikie kwenye facebook KITAU MOTOR GPS au kwenye whatsapp number +255 754 711 783
GPS zetu zina battery inayoweza kukaa zaidi ya masaa 24. Ndani ya masaa 24 bada gps itakuwa hewana na tutaweza mpata kama taarifa itatoka mapema.
Naomba number yako tuongee vizuri
Tunashirikiana na polisi kila hatua mpaka dakika ya mwisho kuhakikisha chombo kinapatika. Ikumbukwe hii ni Huduma ya Ulinzi. Hatusemi vyote vilivyoibiwa vitapatikana lakini tunasema asilimia 99% tutakipata chombo kilichoibiwa kama taarifa itatolewa mapema iwezekanavyo.
Tukirudi kwenye swali...
Kama amekuibia Dar es Salaam, Kabla hajatoka nje ya Mji aliopo tutakuwa tumeisha mpata. Kwa mfano ulioutoa, kupeleka chombo chochote milima ya udzungwa itachukua muda. Kwa kushiriana na jeshi la polisi, tunauwezo wa kufanya tracking na tutampata kabla signal haijapotea.
Kwa mwezi wa kwanza utalipa double the price. Pikipiki bajaji elfu 20 Magari Elfu 30. Hii ni kwaajili ya usajili. Kuanzia mwezi wa pili utaendelea kulipia 10/15 kwa mwezi. Hakutakuwa na malipo mengine yoyote.
Unapatikana sehemu gani? Kwa Dar es Salaam popote tunakuja siku hiyo hiyo. KKwa mikoani tutatafuta utaratibu mwingine.
Hauhitaji chochote zaidi yamkataba tutakaotia sign.
Malipo yanafanyika kwa njia ya simu na yatafanyika tu pale tutakapomaliza kukufungia na ukaridhika kinafanyakazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.