Nikweli kabisa anapojitoa ktk kundi wakati yeye ndio alikuwa mkuu, angefanya hivyo mapema kabla tungemwelewa tens angetoa 7bu ya kujiuzulu, lkn alitulia had I nchi ikiingia hasara kubwa.
Kama wiziri mkuu ambae ndie mtendaji mkuu wa shughuli za serikali kwa mini hajaachia madaraka ili kujiweka safi, au hakuwaza kuingia ikulu hapo kabla?!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.