Recent content by KITANGA FUGO

  1. K

    Mdahalo ITV: Umuhimu wa Maadili katika kuimarisha Amani, Umoja na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Huyu polepole ameanza kuharibu sana. Sina imani nae tena. Lakini ameambiwa hatakama mtu si mwadilifu akienda kwa waadilifu nae atakuwa mwadilifu. Hivyo awe na imani tu na jembe letu.
  2. K

    Diana Chilolo, Mbunge Viti Maalum Nusura apate kichapo mbele ya Kikwete mkutano wa NEC

    kumbe Mwigulu ni mboni ya ccm. mboni zingine bwana dar. subr octb
  3. K

    Lipumba: CCM ina wagombea wawili, Lowassa na Magufuli

    Kagombea mara 4 siyo mara 2 mkuu
  4. K

    UVCCM yamvaa Lowassa, wasema watamnyosha

    Very hopeless uvccm
  5. K

    Vipindi vya Star Tv kuelekea uchaguzi

    aliselema alija
  6. K

    Dalili za wazi kuwa Lowassa hajaridhishwa kuondolewa jina lake kuwa mgombea wa CCM

    Mbio za sakafu ni huishia ukingoni. Hakuna marefu yasokuwa na ncha. zama za lowassa katika ulingo wa siasa zimefika mwisho anatakakiwa atangaze nia ya kugombea ubunge jimboni kwake tu na si vinginevyo na kama alikuwa ameaga imekula kwake.
  7. K

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Top 5 1. kigwangala 2. Ngeleja 3. Amina Ally 4. Nchemba 5. Nyalandu
  8. K

    Tetesi za yanayojiri kwenye Vikao vya CCM Dodoma

    Subri wakuletee Mwigulu wako.
  9. K

    Siri nzito zilizovuja kutoka Team Lowasa hizi hapa

    Subiri CC ifanye mambo. mbona bado mapema
  10. K

    Nyongeza ya mishahara 2015

    july mwishon utapata majibu
Back
Top Bottom