Huyu polepole ameanza kuharibu sana. Sina imani nae tena. Lakini ameambiwa hatakama mtu si mwadilifu akienda kwa waadilifu nae atakuwa mwadilifu. Hivyo awe na imani tu na jembe letu.
Mbio za sakafu ni huishia ukingoni. Hakuna marefu yasokuwa na ncha. zama za lowassa katika ulingo wa siasa zimefika mwisho anatakakiwa atangaze nia ya kugombea ubunge jimboni kwake tu na si vinginevyo na kama alikuwa ameaga imekula kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.