Lazima ashinde kwa kuwa hakuna upinzani tanzania kuna kundi la waganga njaa tu. Leo Dr. Slaaa ndio anaonekana potential canditate wa chadema ndio kiini cha kelele zote hizi mnazosikia hadi kuingiza dini. Wamesahau yote ambayo Dr. Slaa aliwatenda mwaka 2015
Naungana nawe, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan amefanya makubwa sana kwa Taifa hili ndani ya muda mfupi sana. kelele zinazopigwa ni kundi la watu waliodhani atateteleka ili wapate sababu, wameona anaenda vizuri na anazidi kupaa wamedhamiria kumkwamisha. Tusiwape nafasi hiyo.
Mzee kinana yuko sahihi kabisa, watanzania tulipitia hali ngumu sana miaka mitano iliyopita, sasa nchi imetulia, biashara zimerudi kwenye hadhi yake, maisha ya watu yanaendelea kama kawaida kila mwenye kupenda kufanya kazi anafanya kazi yake, wale wavivu wasiotaka kufanya kazi ndio wataendelea...
Ubobezi kwenye Biblia ni pale unapotumia hiyo Biblia kujenga hoja na sio kuleta siasa kama hao maaskofu walichofanya. kimsingi Roma wameonyesha wao sio dhehebu la kikristo bali ni kikundi kinachohitaji kushika dola.
Habari wanajamvi,
Bila shaka sote tumesikia kinachojiri kuhusu watu ama vikundi vya watu kuamaua kupotosha hoja za msingi kwa makusudi yao. Hivi karibuni kumekuwa na hoja ya Baraza la maaskofu wa katoliki (TEC) wakidai kuwa mkataba wa bandari na DP World ufutwe kwa kile wanachosema watuwengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.