Recent content by Kitaja

  1. Kitaja

    Rais Samia Suluhu Hassan, Atashinda urais 2025 asubuhi na mapema

    Umri umemtupa mkono na akili yake imechoka sana, hana hoja ni kelele tu
  2. Kitaja

    Rais Samia Suluhu Hassan, Atashinda urais 2025 asubuhi na mapema

    Lazima ashinde kwa kuwa hakuna upinzani tanzania kuna kundi la waganga njaa tu. Leo Dr. Slaaa ndio anaonekana potential canditate wa chadema ndio kiini cha kelele zote hizi mnazosikia hadi kuingiza dini. Wamesahau yote ambayo Dr. Slaa aliwatenda mwaka 2015
  3. Kitaja

    Rais Samia ni kiongozi mwenye misuli ya Uongozi ya kustahimili Vishindo vya aina zote

    Naungana nawe, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan amefanya makubwa sana kwa Taifa hili ndani ya muda mfupi sana. kelele zinazopigwa ni kundi la watu waliodhani atateteleka ili wapate sababu, wameona anaenda vizuri na anazidi kupaa wamedhamiria kumkwamisha. Tusiwape nafasi hiyo.
  4. Kitaja

    Kinana: Rais Samia msikivu nchi imetulia

    Mzee kinana yuko sahihi kabisa, watanzania tulipitia hali ngumu sana miaka mitano iliyopita, sasa nchi imetulia, biashara zimerudi kwenye hadhi yake, maisha ya watu yanaendelea kama kawaida kila mwenye kupenda kufanya kazi anafanya kazi yake, wale wavivu wasiotaka kufanya kazi ndio wataendelea...
  5. Kitaja

    TEC Ina nguvu duniani kote waraka wao usipuuzwe

    Hiyo nguvu haitoki kwa Mungu bali kwa yule adui, wasikutishe kabisa
  6. Kitaja

    Mchungaji Lusekelo: Kanisa Katoliki linapaswa kuomba radhi kwa kutoa Waraka ule, nami nitawaombea kwa Mungu awashushie Roho Mtakatifu Wapone!

    Nakubaliana kabisa na alichosema Mzee wa upako. Hawa maaskofu waitumie mwamvuli wa dini kupenyeza hoja zao za kutaka madaraka
  7. Kitaja

    Sauti ya wengi sio sauti ya Mungu. Huu msemo ni kuchanganya dini na siasa

    Uko sawa ndugu, hawa Roman wameonyesha kupingana kabisa na Biblia, Wajifunue wazi tuwaone rangi zao halisi wasitumie mwamvuli wa dini.
  8. Kitaja

    Sauti ya wengi sio sauti ya Mungu. Huu msemo ni kuchanganya dini na siasa

    Ubobezi kwenye Biblia ni pale unapotumia hiyo Biblia kujenga hoja na sio kuleta siasa kama hao maaskofu walichofanya. kimsingi Roma wameonyesha wao sio dhehebu la kikristo bali ni kikundi kinachohitaji kushika dola.
  9. Kitaja

    Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    Sio Lazima sauti ya watu ndio iwe sauti ya Mungu. Historia na Biblia inatuonyesha, Mungu hufanya kazi na kundi dogo tu sio wengi.
  10. Kitaja

    Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    walifabyia wapi huo utafiti na kubaini hiyo sauti ya wengi? aidha kwenye dini hakuna sauti ya wengi ila Mungu amesema.
  11. Kitaja

    Sauti ya wengi sio sauti ya Mungu. Huu msemo ni kuchanganya dini na siasa

    Habari wanajamvi, Bila shaka sote tumesikia kinachojiri kuhusu watu ama vikundi vya watu kuamaua kupotosha hoja za msingi kwa makusudi yao. Hivi karibuni kumekuwa na hoja ya Baraza la maaskofu wa katoliki (TEC) wakidai kuwa mkataba wa bandari na DP World ufutwe kwa kile wanachosema watuwengi...
  12. Kitaja

    CCM waendelea kuvuana nguo, safari hii ni Bollen Ngeti

    Naunga mkono hoja hii na inazidi kudhihirisha ukweli wa alichosema Diallo
  13. Kitaja

    TANZIA Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA, Renatus Mkinga afariki Dunia

    Aliumwa? Nilikutana nae posta Kama wiki mbili zilizopita
  14. Kitaja

    Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

    Nenda kanisa la waadventista wasabato hutajuta na makanisa yake yanapatikana kila wilaya. Mkoa na sehwmu mbali mbali
  15. Kitaja

    Sikubali kama uchumi wetu umeshuka bali Serikali inakwepa majukumu yake au kuna mlegezo uko mbioni

    Kwan hiyo zikirudi kuna shida gani? Propaganda zimeharibu Sana thinking capacity ya watanzania wengi
Back
Top Bottom