NEW ARRIVAL: sasa unaweza kukipata kitabu pendwa cha Benjamin William Mkapa (My life, My Purpose).
Nitakutumia kitabu hili na vyengine 3 kwa Softcopy mfumo wa pdf kupitia WhatsApp yangu kwa Tsh 10,000
KARIBU SANA
Joe Biden ashinda uchaguzi wa Marekani na kuwa rais mteule wa Marekani baada ya kumshinda Donald Trump.
Bw. Biden ameshinda katika jimbo muhimu la Pennsylvania, akijizolea kura zaidi ya 270 zilizohitajika ili kunyakua kiti cha White House.
Kampeni ya Trump imeonesha mgombea wao hana mpango wa...
Habari wakuu,..
Naomba mawazo ya biashara ambayo nikifanya naweza kua billionea fasta, haijalishi mtaji kiasi gani. Ni biashara gani nikiifanya nakua Billionaire fasta ...?
Tiririka hapo chini.
ASANTE.
Salute Bosses!!!
Habari mkuu , Leo nipo kwenye moody kabisa wa kukuletea uzi ambao hujawahi kufundishwa shule, chuo ama nyumbani!!!
Yaani nataka TUJIFUNZE madini muhimu sana ambayo ni kama hazina itayokufaa kwenye maisha mwako.
Hivi ushawahi kujiuliza kwanini maCeo ama Matajiri ama watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.