Recent content by kisumapai

  1. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Bora ndugu umeliona ilo kuna watu wanaona kama nimekosea sana hakika kila mmoja anakuwa na uelewa wake katika kuwaza jambo
  2. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Wewe ni mmoja wapo katika biashara mbao nipe uzoefu kidogo
  3. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Nashukuru sana kwa ushaur wako hakika nimeusoma law makini sana maana nimekuwa njia panda kile nilichotegemea kufanya naona kama kinakuwa na changamoto sana kuliko nilivyofikiria mwanzo
  4. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Asante kwa ushauri ntakupa mrejesho ndugu
  5. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Asante kwa ushauri ndugu hakika mawazo yako ntayafanyia kazi japo kuna neno moja umelitumia la kusema nina kiherehere usijal kuhusu ilo pia iyo ni njia ya kufikisha ujumbe ili uwe na uzito fulani
  6. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Asante kwa ushauri ndugu je kwanini usinipe idea ya kufanya chochote ambacho unaona kinaweza kunikomboa kuliko kurudisha pesa je kama nikiendelea kuogopa angali bado kijana je siku watoto wangu wakishindwa kwenda shule kwa sababu ya kipato kidogo ninachokitegemea je hapo ntakuwa nimejikomboa?
  7. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Nashukuru kwa ushauri wako ngoja namimi niendelee kupambanua kupitia jukwaa ili maana nimeisha jifunza mengi naona kuna Fulsa nyingi lazima ntaona zile ambazo naweza kupambana nazo kutokana na kazi ninayoifanya na mda ntakaokuwa na upata ila nimejifunza kitu kikubwa kumbe ukitaka kufanikiwa...
  8. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Hapana ndugu kwa sahivi swala la ujenzi tunataka kuliweka pembeni tutakachozalisha kutokana na biashara tunaweza kukitumia kujengea uku mtaji ukiwa unaendelea kupumua maana kwenye ujenzi siku zote ni kutoa tu wala sio kuingiza ndugu ni sawa na mshahara wa sisi waajiriwa tunatoa tu hakuna backup
  9. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Asante kwa ushauri ndugu
  10. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Kwa kazi yangu si ruhusa kusafir nje ya mkoa pasi na likizo ndugu
  11. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Ndugu mimi niko Dar na sina uzoefu na mwanza pia kwa pesa niliyo nayo ni ndogo kununua ilo gari may be kununua kwa mtu na ni kitu katu ambacho siwezi kufanya
  12. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Asante sana kwa mawazo yako naendelea kujifunza mengi kupitia jukwaa ili japo kuna wengine wananibeza na kuona kama sina akili .Ndugu zangu Tambua sisi binadamu tumezidiana uelewa wa mambo ata mimi ukija katika upande wangu wa kazi basi najua kila kitu mpka nisipokuwepo kazini dhairi ofisi...
  13. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Ndugu mimi ndo naanza sina uzoefu aise je nikimpa akalipigisha kazi likaaribika alafu yeye akalala mbele mda wa kushinda mahakamani ntautoa wapi ndugu
  14. kisumapai

    Nina Milioni 45, msaada wanaJF

    Aise swala la kujenga haliko kwenye akili yangu kabisa maana nimeteseka sana mpka kuja kumaliza kibanda changu cha kuishi.
Back
Top Bottom