Kwa kitu chochote kama hukipendi si rahisi kukiandika vizuri kwa hiyo wachangiaji so wakuwashagaa kwa vile hawakuwa na kazi ndiyo maana walicoment hiyo mada
Kesi ya wakuu wa polisi Mwanza kuhusu kuteswa kwa watuhumiwa Kigoto Mwanza miaka ya 70 na kesi ya kwanza ya uhaini iliyowahusisha Bibi Titi na Maichael Kamaliza miaka ya 69
Magufuli mwisho wake ndiyo huo atafute gia nyingine hapo naona kabisa hakuna kesi kwa walivyoshupalia suala hilo kwa macho tu mbona ni kosa la uhujumu uchumi jiulize kwa nini iwe jinai ya kawaida tu kuna wakubwa wapo nyuma yake hapo
Kinachompa shida huyu kijana wilayani kwake hivi sasa yupo peke yake wilaya kaigawa upinzani maana yake nini kiuongozi hatoshi ndiyo hayo anayofanya sasa hivi
Nawashangaa woteliojadili mada daima utamu wa ngoma ingia uicheze yotenayojadili sijaona mantiki yake wewe mwalimu au daktari fundi magari atake kujua mshahara wake unamhusu?
Mkuu wa mkoa kupitia ITV jana anawaomba wana dar usafi ufanyike kila mwezi na aliahidi kuondoa ombaomba zoezi hilo lilifanyika? Ndiyo tuelewe uongozi nchi hii hatuna unazinduka mmoja wao akielekeza ikiisha wanakwenda kulala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.