Huyu BEN SAANANE kila siku huwa namwambia kule FB kuwa yeye kisiasa bado kabisa.
Tatizo la CHADEMA ni kuwa ukishakuwa na uwezo wa kupiga kelele, kutukana na kupandikiza chuki basi from that point unapewa cheo cha UKAMANDA.
Kuna kichaa mwingine tena wanamwita GOODLUKIES GOOD huyu naye akili...
Wrong turn my friend!
Huna tofauti na wajinga wengine,
Viroba siyo fani kijana,
Nahisi tatizo lako kubwa ni shule,
Japo kuna nafasi ya kukuweka kwenye mstari,
ZITTO sio roporopo,
Nilazima ujue ACT haiendeshwi na nguvu ya viroba kama CHADEMA,
Vijana tunataka siasa makini na sio siasa...
Wilbroad Slaa kiongozi wa INTARAHAMWA anakuja kutoka mafunzoni. Wanamgambo wa CHADEMA jipangeni kumpokea. Mwambie na grand mafia Mbowe kuwa kiongozi kafika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.