Recent content by KISOZIMOTO

  1. K

    Emmanuel Okwi atua Msimbazi kwa mkataba wa miaka miwili

    Wadau hili la okwi kurudi simba limekaaje? sijaelewa mimi..! kwani mkataba wake na yanga ulikuaje? kama sikosei amecheza kama mechi 4 za ligi! WADAU HEBU NIJUZENI...!
  2. K

    Unaweza Kusoma diploma ya education ukiwa na degree tofauti?

    asante ndugu kwa wazo lako zuri, je akisoma diploma inakubalika?
  3. K

    Unaweza Kusoma diploma ya education ukiwa na degree tofauti?

    Habari waungwana! ndugu yangu ana degree ambayo si ya education, ila anataka kusoma diploma ya education vipi inakubalika? Hana uwezo wa kifedha wa kusoma postgraduate!
  4. K

    Walimu wapya waliobadilishiwa vituo-tamisemi

    But mbona siyo wengi na walikuwa wanazingatia vigezo vipi?
  5. K

    Wakwere, Wadengereko na Wazaramo watanipasua kichwa

    Acha kupayuka! taja kabila lako nawe tulijue kwani linaweza likawa na mila mbovu kuliko hayo makabila ulioyataja! mf. wazaramo hawakeketi na labda kabila lenu wanakeketa, sasa linganisha hapo! MNAPENDA KUWASEMA VIBAYA WAZARAMO WAKATI MMEWAFUATA WENYEWE !
  6. K

    Viwango vipya vya ufaulu vina tija kwa taifa

    Ukitazama historia viwango vilivyokuwa vikitumiwa na baraza la mitihani kipindi cha nyuma Vilitumika kwa muda mrefu. Viwango hivi viliwanyima wanafunzi wengi kuendelea na masomo ya advance, hivyo basi mabadiliko ya sasa tutaona vijana wengi wakipata fursa ya kuendelea na masomo. Mfumo wa sasa...
  7. K

    Je Tanzania bado kuna shule za vipaji?

    special schools zimebaki majengo ila ufanisi wake si kama ilivyokuwa awali!
Back
Top Bottom