Nadhani shida ni kuwa kazi yake haina mapato ya ziada, hata anaowahudumia huwa hawatoi mrejesho kama zilivyo kazi nyingine, Daktari akikuhudumia vyema unafungua wallet kumshukuru, na kwingine, shukrani ya mwalimu ni kutungiwa jina la ziada na wanafunzi, faida nyingine hawazeeki haraka.