Recent content by kisinda

  1. K

    JamiiForums Tanzania Hili ndio tamko la Mh zitto juu ya uzushi wa mwana muziki Joseph Mbilinyi (sugu)

    Maelezo yangu kuhusu kazi za Kigoma AllStars/LEKADUTIGITE kwa NSSF na TANAPA. Leo tarehe 29 Mei, 2014 Msemaji wa Kambi ya Upinzani kuhusu Habari, Michezo, Vijana na Utamaduni amenituhumu kuhusika na kinachoitwa ufisadi katika Shirika la TANAPA na NSSF. Nasikitika kwamba katika hali...
  2. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Yaanza Operesheni PAMOJA DAIMA: Helkopta tatu Kutumika!

    chadema yaingia kwenye hasara kubwa sababu ya mgogoro waliopika dhidi ya Zitto,chama kimekaa na kimetambua athari iliyokikumba dhidi ya mgogoro huo na kuamua kuchukua uamuzi wa kuanza ujenzi wa chama upya kwa kutumia mamilioni ya fedha.Chama kitatumia chopa tatu ambayo moja kukodi kwa saa 1 ni...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke Joseph Yona, apigwa na kuumizwa vibaya!

    Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa temeke bw. Yona amepigwa na kuumizwa vibaya Leo usiku na kutupwa maeneo ya Ununio. Yona amekuwa ni akipinga vikali maamuzi ya kamati kuu CHADEMA kuwavua uanachama Dkt Kitila Mkumbo, Samson Mwigamba na Zitto Kabwe katika sakata linaloendelea CHADEMA. Huyu ni...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    Chadema watinga na mawakili watatu: Peter Kibatala, Tundu Lissu na John Mallya. Zitto ameendelea kutetewa na wakili msomi Albert Msando. Hata hivyo mpk sasa mawakili wa upande wa CDM wanaonekana kuzidiwa hoja na wakili Msando. Jaji ameahirisha kwa muda mfupi akisubiri maelezo ya akina Lissu...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho

    "USAHIHI UPO HIVI. Zitto hajakwenda Mahakani kuzuia ubunge wake wala kuzuia kuvuliwa uanachama wake. Zitto amekwenda mahakamani kuizuia kamati kuu kumjadili mpaka hapo litakapoitishwa baraza kuu la chama, Tayari kamati kuu wameshamtia hatiani Zitto kwa makosa hayo hayo na kumvua nafasi zake zote...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

    Zitto Kabwe.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Zitto kutua Tabora Jumamosi: Mapokezi Makubwa yamsubiri

Back
Top Bottom