Wanajamvi naomba tujadili hili. Kama Ukawa watakubali ushauli wa twaweza, kuwaomba Ukawa waanze kumnadi Lowasa kama mgombea wa chadema na kuachana kabisa na neno ukawa. Nini maana take.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.