mass communication nashauri usome china au india CANADA Ni kuanzia dola 14000 ...kwa india ni kuanzia dola 1500 na china NA CHINA ni dola 3000 kwa mwaka hio ni tuition fee budgeted for 1 year KARIBU.
Habari wana janvi.
kwa jina naitwa RICCO BAKARI ni marketing officer wa Global education link inayojihusisha na kuwasaidia wanafunzi kutimiza ndoto zao za kusoma Abroad kwa kuwataftia vyuo katika nchi ambayo mwanafunzi anaitaji kwenda kusoma kwa level ya DIPLOMA, DEGREE, MASTERS NA PHD...
sory mkuu just jocking... kuchapa ni sawa na kuandika kwa mkono ni sawa maana hawaja sema utumie nini... wengne wanapendelea kuandika kwa kigizo kua muandiko ukiwa mzuri ni ishara ya kua smart... ila pia waweza andikiwa... kwa mimi naomba kazi ya compliance officer nitachapa barua kwa upande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.