Kuna yule Refa mshika kibendera anaitwa Komba kwenye ligi kuu Bongo.. yeye ni captain wa jeshi la polisi na kuna muda yuko bize kabisa na majukumu ya kimpira zaid. Nadhan kuna namna wanapewa ruhusa bila kuathiri kazi zao walizoajiriwa kwenye usalama.
Hatimae Maguire hajatoa boko... nilikuwa nadhan muda wowote game itaharibikia njiani, huchelewi kupigiwa simu za kuharibu shughuli.
Hapo sasa mzee endeleza burudan kwa huyu mtoto mzuri na hakikisha kila unapomla unaelezea tukio zima mwanzo mwisho...hahaaa. Soon utamilikishwa moja ya mradi wake...
MR Insider fanya utue episode moja basi saa mbili usiku mbali sana weekend leo unawez jikuta umefika kidimbwi kurud saa 7 usiku( JOKE). Ila arosto ya weekend inanambia uweke episode moja.
Kwa mazungumzo yako na Iryn anaonesha yuko so stressed hasa na wewe kwa kile umemfanyia kwa Muajemi na kwa jinsi alivofall kwako. Hapo inabidi mzee baba ukae chini utafute solution
Mimi tu hapa na kumaliza degree yangu natamani nipate hata walau kazi ya Laki Tano Mungu hajanijaalia kuipata zaid ya kujikita kazi ambazo si rasmi kwa wahindi kama kibarua. Huyo ndugu amefanya nipate uchungu sana.
Ila kweli usemacho 20 ndogo sana labda 50. Ila hapo jamaa inaonekana kwenda ukweni tu laki 5 wengine hiyo ndo kianzio cha mahali baada ya hapo maisha mengine yanaendelea
Hivi kikawaida mshenga akipeleka barua ukweni huwa inabidi kuwe na kiasi kikubwa hivo cha pesa au inategemea na tamaduni na jamii ya watu fulani, naona hapo pesa nyingi mno imepelekwa kabla hata ya mahali kutajwa. Au pia inategemea na dini. Maana upande wetu waislamu barua ni elfu 20 tu au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.