Recent content by KishkwambiX

  1. KishkwambiX

    Binadamu Tunapaswa Kuwa Jamii yenye uwezo wa Kusafiri Angani, nje ya dunia

    Ni kweli lakini elimu ya anga vyuo na taasisi zetu zinahitajika kuwekeza sana kwenye mijadara yao na kila kitu
  2. KishkwambiX

    Kwanini programming code ni shida?

    yes ni kweli kabisa unapozungumzia computer studies vs programming ni vitu viwili tofauti i) programming inahitaji skill nyingi sana za mtu binafsi -kutokata tamaa -kutokuwa na tamaa(yani haujamaliza hiki unaanza hiki) -internet(mtandao) mfano mzuri kuna kampuni furan nafanya nalo kazi yani...
  3. KishkwambiX

    Kwanini programming code ni shida?

    nakubaliana na wewe hakika msingi hatuna wengi wetu tunaanza kuizingatia programming baada ya kufika chuo au baada kumuona mtu alietoka chuo mfano mimi msingi wangu niliupata baada ya mtalii kuniambia kwanini usifunze coding you will make money hapo ndo nikaanza lakini baadae yeye kwenye...
  4. KishkwambiX

    Kwanini programming code ni shida?

    ok thank kwa reply yako yani ipo ivi unapozungumizia programming ni general kweli na mm lengo langu ni ugeneral 1. kinapozungumziwa kitu yani ni janga au tatizo kama hili la coding sio kwamba hakuna watu ila hawatoshelezi mfano mimi nimejaribu kufanya research chache japo zinauzito nimeenda...
  5. KishkwambiX

    Kwanini programming code ni shida?

    ni kweli lakini kwa mimi ninavyoona kwenye vyuo vyetu wakufunzi wengi walisoma elimu ya computer miaka iyo lakini pia waliosoma miaka hii ya saivi hawapo vizuri kwenye coding
  6. KishkwambiX

    Kwanini programming code ni shida?

    Tanzania nchi yetu hakika programming imekuwa shida haswa kwa vyuo vyetu shida ni nn? Walimu wabobezi hatuna au watanzania wagumu kufikiri?
Back
Top Bottom