Global man imepoa sanaa, halafu haitoboi masaa 12,
Elope, sina swali...Mnyama kabisa huyu, tena ukijichanga mpk 25k unapata perfume yake OG Ebhanaa eeeh the rest is history!
Sawa Mzee, ila the way unavyoiongelea ukubwa wake na ukija kusema mpk sasa imekula 86m ni kama vile mtu ajenge hivyo halafu apauwe na kuweka grill tu ndo inaweza kucheza hapo, ila kama umeimaliza kwa kufaa kuhamia still 86m ni ndogo sanaa ndo maana tukauliza ukubwa wa nyumba in sqm, pengine...
Inamaana gari ya kwanza ya Dar --Iringa inaanza kuondoka saa moja?
Hakuna zinazowahi kutoka labda mida ya saa 11 alfajiri au 12 kamili juu ya alama ili kuwahi kufika?
Fahari ya Iringa ni nini??
Kwa mfano mtu akienda Tabora atabeba Asali, akienda Mtwara atabeba Korosho na mfano kama huo kwa mikoa mingine,
Je iringa ni nini utambulisho au zawadi naweza beba na kujivunia nimetoka iringa?
Naomba kuuliza wakuu hivi Dar to Iringa ni masaa mangapi?
Na je ni bus gani linatembea fresh (lenye Safari) yaani chap kwa haraka na sio kufika giza,
Natarajia kusafiri soon?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.