Jambo hili bado halijapata ufumbuzi.Wanakijiji wanajiandaa kutumia njia halali wanazojua ili kupata haki zao ikiwemo kujilinda wao na Mali zao.
Kuna waandishi wa habari walienda wakahoji wananchi,na malalamiko yao tangia juzi,hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa hadi Sasa,na mifugo ya huyu Bwana...
Hofu kubwa imetanda kwa wananchi wa Kijiji cha Mbatakero,Wilaya ya Hai,mkoani Kilimanjaro kutokana na uvamizi unaofanywa na wafugaji wa Kimasai kwa Wakulima Maskini wa kijiji hiki huku uongozi wa kijiji haswa Mwenyekiti aitwaye IVOCAVIT SWAI,ukishutumiwa kupokea rushwa kutoka kwa hawa wafugaji...
Kutoka Sadala unashuka chini kwenye barabara niliyokuelekeza,hakuna kibao chochote cha shule utakutana nacho isipokuwa Mbatakero.Ukifuata hicho kibao unafika zilizo ofisi za Kijiji, ukipiga hizo namba nilizoweka kwenye andiko watakuelekeza wote ni wenyeji na wapo hapo.
Hofu kubwa imetanda kwa Wananchi wa Kijiji cha Mbatakero, Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro kutokana na uvamizi unaofanywa na wafugaji wa Kimasai kwa Wakulima Maskini wa kijiji hiki huku uongozi wa kijiji hasa Mwenyekiti ukishutumiwa kupokea rushwa kutoka kwa hawa wafugaji ambao ni wageni eneo...
Mheshimiwa Waziri,nitakuja hapa kushare experience yangu kuhusu hili sababu nashughulika na masuala ya familia.
Kuna lawama wanabeba Wababa zinazosababishwa na wanawake pia.Tusifanye hasty generalization Kwamba tatizo ni wanaume ndio chanzo.Nitaandika usiku huu Mungu akijalia.
Hayo mafuta alipakwa na nani? Maana Kibiblia Kila aliyepakwa mafuta alipakwa alipakwa na Mtu fulani aliuetumwa na Mungu.
Sasa huyu wako alipakwa na nani? Na ilikuwa lini,? Na wapi?
Naomba msaada kwa anayeweza kupenyeza ujumbe huu kwa Mh.Mbunge Saashisha Mafue wa Jimbo la Hai na Serikali sikivu ya Ccm.
Hivi karibuni Serikali ilianza zoezi la kusambaza nguzo za umeme wa Rea kwenye vitongoji kadhaa vya wilaya ya Hai.
Kwenye kitongoji Cha MLIMAFARU kilichopo kijiji Cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.