ungefunguka alchokufanyia ingekuw better bu2 makabla hyo wanawake ni wajeur sana kwa wapenz wao but sio wote wenye hulka hyo ila ni wazur kwenye mambo fulan na ni watafutaj pia
Me ni mschana nna umr wa miaka 24....nimeamua kuwa na maisha yangu baada ya kuumizwa sana kimapenz nimembembeleza sana my bf labda hatabadlika lakini bado naishia kila siku kulia najiona sina thaman kwenye dunia hii it's beter mtu akwambie ulichomkosea.....siach kusal namwomba mungu anisaidie...
naomben mnisaidie wana jf wenzangu...me ni msichana nmedumu na my bf takriban miaka 4 mapenz yetu yalikuwa mazuri before my bf ajapata kazi now kapata kazi kanibadlikia sana mpaka siamini kama ndo yeye 2liyekuwa tunapendana na week ya tatu sasa hapokei cm yangu mpaka ni2mie namba nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.