acha kudanganya watu. king'amuzi gani kinaonyesha picha ya HD wakati matangazo hayarushi kwa mfumo wa HD?. kwa tanzania hakuna TV station inayo rusha matangazo kwa HD.
Kuna gazeti moja la leo lime report kuwa naibu waziri wa nishati na madini
ameibiwa vitu vya thamani ya tshs 23mill ila hawakumuibia bastola na SMG.....hivi jamani SMG si silaha ya kivita, je inaruhusiwa kumilikiwa na raia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.