Recent content by Kiranja junior

  1. Kiranja junior

    Je, ni Rais gani aliyependwa kuliko wote Tanzania?

    Hata mimi nilitamani kushuhudia mubashara bila chenga kuagwa kwa dikteta uchwara wa kisasa
  2. Kiranja junior

    Je, ni Rais gani aliyependwa kuliko wote Tanzania?

    Rais aliyependwa kuliko wote ni Nyerere na aliyeongoza kuchukiwa ni: John Joseph Pombe Magufuli. Nalog off
  3. Kiranja junior

    Kumekucha, Ukraine walipua nyambizi (sub-marine) na meli ya kivita ya Urusi

    Anaitengeneza dunia! Hahaha! Si angeanza na nyumbani? Nyumbani kwake mwenyewe wananchi hawako huru kujiamulia mambo yao halafu unasema lengo lake ni kuitengeneza dunia. Kweli mapenzi hupofusha. Mimi nikuambie ukweli mchungu kwamba. Si Mrusi, si mchina wala si mwarabu ambaye anaweza kuwa na...
  4. Kiranja junior

    Netanyahu aapa kujenga Ukuta Jordan kuzuia Wahamiaji wa Kiafrika, waliopo kuondolewa Israel

    Sasa wanaowasumbua Israel ni waislamu wa kiarabu halafu wawachie tena waarabu chotara wa Eritrea ambao ndio waislamu wa imani kali kuliko Hamas? Hata kama ni wewe ungekubali watu ambao unajua kabisa watakuja kuwa mwiba kwako baadaye waje nchini mwako? Itoshe tu kusema afadhali wazungu kuliko...
  5. Kiranja junior

    Gabon: Jeshi limechukua madaraka baada ya Ali Bongo kutangazwa mshindi wa Urais

    Ee Mungu saidia huu uamsho ufike na huku kwetu
  6. Kiranja junior

    Ujinga ni tatizo kuu hapa Tanzania

    Acha mboyoyo, tuambie ni wapi watanzania wameukataa uwekezaji? Wanachokataa ni utapeli kupitia bandari
  7. Kiranja junior

    Hasira baada ya Quran kuchomwa nje ya msikiti Sweden

    Sijaongelea hisia hapa ila nimeongelea kitendo. So ikitokea mtu amechoma biblia utachukua hatua gani? It means na wewe utachoma Quran?
  8. Kiranja junior

    Hasira baada ya Quran kuchomwa nje ya msikiti Sweden

    Mimi ni mkristo na kama mkristo au mwislamu akiamua kuinunua biblia na kuichoma wala mimi siwezi kuumia kwa chochote maana najua atapambana na Mungu wake. Sisi wakristo tunajua Mungu ni Mkuu/ mkubwa kuliko kitu chochote kilichoko mbinguni na duniani hivyo si wa kupiganiwa bali ndiye...
  9. Kiranja junior

    Tuliposema mazao yasiuzwe nje hatukueleweka, sasa hatuna cha kufanya!

    Kwa hiyo wakulima ndio hawataki faida wakati ndio wengi nchi hii?
  10. Kiranja junior

    Tetesi: Njombe: Jiwe la Msingi lililowekwa na Chadema kwenye Uzinduzi wa Mradi wa Maji lavunjwa

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
  11. Kiranja junior

    Tetesi: Njombe: Jiwe la Msingi lililowekwa na Chadema kwenye Uzinduzi wa Mradi wa Maji lavunjwa

    Wewe ulilogwa na mwendazake na bahati mbaya alishakufa kwa hiyo huponi tena.
  12. Kiranja junior

    PIJ vs IDF: Kikundi kipya kuisambaratisha Israel?

    Naona una uchungu hadi unataka kufa
Back
Top Bottom