nz huyo raisi wako unaemjua wewe unajua ana watoto wangapi nje ya ndoa? Slaa alikua padri hakuwahi kuoa sasa huyu mhuni wenu ana vobinti kibao na ana ndoa tumia akili yako ya darasa latatu vizuri tu
huyo anayesema vijana wa bavicha tuna kumbukumbu fupi kua viongozi wetu walikataza TBC1 kurusha habari za CDM yeye ndio ana kumbukumbu fupi,ajaribu kukumbuka kwanini chadema walikataa?na akumbuke marin hassan marin alifanywa nini kwa tukio lile?
jaribu kuwa na fikra,ni chama gani labda unadhani wewe kinatenda haki kwa jamii,ni ccm hio iliojaa wizi mpaka pesa za vyoo watendaji wake wanaiba,sio unakurupukia mambo kama zombi kama wamekutuma umepotea
Kiukweli huyu maza anahisi anadharaulika kutokana na upeo wake mdogo so inabidi alazimishe mambo kwa kutumia cheo chake ili ionekane kua nae anajua kumbe ndio anaharibu kabisa,hili ndio tatizo la kukariri kila kilichoandikwa pasipo kufanya utafiti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.