Tatizo hajui hata Itifaki za CCM.
Umeambiwa 'Kusalimia na Kujitambulisa' unaanza Hotuba na kushutumu viongozi wa UVCCM?? Kwa wadhifa gani ulionao ndani chama au jumuia?
Huwezi kujifunza hata kwa viongozi wa Chama wanapopewa hizo nafasi husema nn??
"Mnaotoka CHADEMA acheni UANA-HARAKATI...
Dhambi ya Kumtukana Baba wa Taifa hili Mwl. Julius Kambarage Nyerere ya kuwa "alizoea vya " Kunyonga! haikuachi salama, lazima iendelee kukuktafuna mpaka uishe'
Pu......fu!
UKUTA hawatapona,lazima waende ICC wakajibu Ukaidi na uchochezi wa kuvuruga amani ya nchi na kutaka kusababisha Machafuko japo haeataweza mbele ya Rais asiyejaribiwa!
Ukiua damu inakulilia" Hakuna pa kujificha na kujitetea eti Mauji ya askari ni kwa sababu nguvu kubwa imeelekezwa UKUTA,Mungu huyu ninaye muabudu mimi naamini atawaumbua na kuwafichua wote waliotekeleza Mauji ya Askari hawa ambao hawakuwa na hatia,naomba Jeshi la polisi wasicheke nao...
Polisi kamatilia hapo hapo ili Uyaokoe haya Manyumbu maana tayari yamekuwa yakijazwa ujinga ktk vikao vya ndani kwamba hayatashughulikiwa na polisi,ili yajitokeze na yaandamane yapigwe ili vigogo
wa CDM wapate kick ya kuuza video za kipondo cha polisi kwa Wafadhili wao Ulaya"
CCM msipeleke mwakilishi kama mlivyofanya kwa wanaojiita HAKI ZA BINADAM"
CDM wanatafuta kick' ya kisingizio cha mwafaka' Waandamane tu ili wakione "CHA MTEMA KUNI"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.