Recent content by kipele cha ndevu

  1. kipele cha ndevu

    Tuliosoma Iringa: The Highlands, Lugalo, Iringa Girls, Mkwawa HS na Mwembetogwa tukutane hapa!

    Nimesoma na jamaa mmoja yeye alikuwa MBAHAI, alikuwa ana phylisophy za ajabu sana, kama yupo humu anajitambua
  2. kipele cha ndevu

    Tuliosoma Iringa: The Highlands, Lugalo, Iringa Girls, Mkwawa HS na Mwembetogwa tukutane hapa!

    [emoji23] [emoji23] maisha fomula yakeimefichwa kwa werevu
  3. kipele cha ndevu

    Tuliosoma Iringa: The Highlands, Lugalo, Iringa Girls, Mkwawa HS na Mwembetogwa tukutane hapa!

    Mimi nimesoma Highland, nimemaliza 2003,kidato sitaji kwa sababu humu hatufahamiani,namkumbuka headmaster anaitwa Mr Ramadhan,sijajua kama bado yupo au amestaafu,ila nimemkuta mwaka 2013 wakati naenda kuchukua leaving certificate
  4. kipele cha ndevu

    Sio kijijini Sio mjini kila mtu anakwambia upatikanaji wa pesa hasa kwenye biashara kubwa na ndogo ni mgumu

    [emoji23] [emoji23] you made my day,ngoja nikae vizuri, wa ufipa watakuja sasa hivi na makombora yao
  5. kipele cha ndevu

    Yule kichaa aliyekuwa akipita Mikumi kwa miguu kaliwa na simba miezi 2 iliyopita

    Je unadhani mama lulu alikuwa na maisha mazuri, kwa taarifa yako ni mnywaji mzuri wa taps,na lulu ndio aliwToa kimaisha, fanya utafiti utaelewa hili ninalokwambia Kila kichaa ni TISS, tuache huu uongo na uzushi,watu wanacheza na kazi za watu kwa kuishi kwa mitazamo ambayo ni kubuni na kizushi
  6. kipele cha ndevu

    Mama Kanumba asikitishwa na kitendo cha Lulu kutolewa jela. Asema "Siku zote maskini hana haki"

    Je unadhani mama lulu alikuwa na maisha mazuri, kwa taarifa yako ni mnywaji mzuri wa taps,na lulu ndio aliwToa kimaisha, fanya utafiti utaelewa hili ninalokwambia
  7. kipele cha ndevu

    Mama Kanumba asikitishwa na kitendo cha Lulu kutolewa jela. Asema "Siku zote maskini hana haki"

    Mama ake Kanumba alikuwa wapi wakati kijana wake anamwarib katoto ka watu,tuukemee umaskini, ni kitu kibaya sana, huyu binti asingepatwa na majanga haya kama wazazi wake wangekuwa financially fit
  8. kipele cha ndevu

    Mama Kanumba asikitishwa na kitendo cha Lulu kutolewa jela. Asema "Siku zote maskini hana haki"

    Kakukosea nini huyu binti,mbona una hasira nae, hivi yeye kufanywa mtumwa wa ngono akiwa na umri mdogo unaona sawa, au huna mtoto wa kike ukaona uchungu wake, hebu kuwa na huruma na mtoto wa mwanamke mwenzio
  9. kipele cha ndevu

    Mama Kanumba asikitishwa na kitendo cha Lulu kutolewa jela. Asema "Siku zote maskini hana haki"

    Huyu mama atakuwa mchawi asije kumfanya mtoto wake afufuke, maana aliyoyatenda alipokuwa hai yanatosha kumfanya akae kimya, lakini huyu mama hajitambui
  10. kipele cha ndevu

    Jamiiforums member's party

    Mimi nimo tupeane location tu
  11. kipele cha ndevu

    Mwanangu wa miaka 9 amekutwa na Virusi vya UKIMWI, sijui amevitoa wapi?

    Dooh, pole sana Mkuu, dunia ina mengi, mtoto hana mipaka ya kutengamana na wenzake,kwa hiyo possibility ni ametoa kwa watoto wenzake, hususan kushea vitu
  12. kipele cha ndevu

    Rwanda yaongoza parade bora ya jeshi

    Hao ndio wazuri wadudu hawapatikani kwa urahisi
  13. kipele cha ndevu

    Hivi TUCTA Wana Maana Gani?

    Zero brain, hawa hawawezi kuwafikia akina Mgaya, all are just the puppets of the surpreme
Back
Top Bottom