Mkuu, hivi huyu ndiyo yule mwaka fulani tulimpatia jimbo la Segerea kugombea ubunge wakati hajulikani jimbo vizuri hapo jimboni? , Jimbo ambalo kulikuwepo na binti mmoja alikuwa ameiva vizuri sana kisiasa na alijulikana hapo Segerea?
Mkuu, hata Mzee Sarrawart kule Mbulu, Arusha; alishinda...
Mkuu, kama unajitambua kuwa una uwezo wa kugombea uchaguzi na kushinda, kwa nini upoteze muda na chadema; nenda chama kingine - utashinda tu , mbona yule mwana mama wa Katavi (chadema) alishinda pamoja na matatizo yote yale. Usipoteze muda kwa kulalamika, chukua hatua. MAISHA NI MAPAMBANO
Mkuu, unajua kwamba ile nyomi ya watu kwenye mikutano ile ya Lisu na Heche Kanda ya nyasa, ndio imewaponza hawa 55, na kutaka kugombea kwenye uchaguzi.
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.