i agree with you mbeziboy.. Tanzania kuna vitu vingi haviko consistent kwenye ishu ya kodi hasa katika biashara na uwekezaji. Nadhani pia watendaji wenyewe hawana uelewa vizuri wa hizo sheria wanazozismamia.
hili swala litatucost sana na kuturudisha nyuma.
napingana na bi faiza anapodai kuwa ni...
Swali kwako ndugu
Swali kwako ndugu mtabiri.
Je walionyanganywa chao na kuwezeshwa wenye nguvu yakujiwezesha, ni vyema waendele na mfumo huohuo wa kugombea kwa vikaratasi?
Nini maoni yako na je ni njia gani itakayo wahakikishia haki yao?
Shukran....
Boss unashangaza sana yani bado una imani na Serikali ya magu chini ya CCM hii tunayoijua. Ambayo asilimia 90% ni majipu
Hauoni kwamba hizi ni sinema tuuu.?
Hakuna uzalendo wowote wa kweli hapo.
Ni kunyanyasa vidagaa tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.