Recent content by KIPALI

  1. KIPALI

    JamiiForums Tanzania Hiki walichofanya Saudi Arabia ni tusi kubwa kwao na kwa waislamu wote duniani

    Shia na Sunni ni paka na panya
  2. KIPALI

    JamiiForums Tanzania Samia kapitishwa kimakosa kugombea urais. Katiba ya CCM haikufuatwa

    SAWA kabisa kamanda ✌️
  3. KIPALI

    JamiiForums Tanzania Akaunti ya Facebook ya Alfred Mutua, Waziri wa Ajira Kenya imejaa post za nafasi za kazi kwa Wakenya nje. Pitia ya Riziwani ujionee

    Hivi watanzania wanaomaliza vyuo vikuu vyetu hivi vya kata wakaajiliwe wapi Duniani?
  4. KIPALI

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wana CHADEMA Waendelea Kujiunga na CCM Ngara

    Wamefanya vizuri sana kwani hawataongezewa Bei ya vitu mbali mbali na ukali wa maisha hauwahusu
  5. KIPALI

    JamiiForums Tanzania Marekani hatutakuwa na uwezo wa kumzuia Israel Tena iwapo Iran watashambulia

    Vita ni pamoja na washirika, mbona Russian imeagiza majeshi ya Korea kuisaidia kupambana na Ukraine hali kadhalika IRAN imeipa silaha Russia
  6. KIPALI

    JamiiForums Tanzania Habari zimevuja, Israel ilikua na mpango wa kuishambulia Iran hivi karibuni

    Hivi wayahudi unawajua wewe 🤣🤣🇮🇱eti waifute Israel Kwa taarifa yako walijaribu siku nyingi sana kuifuta lakini hawakuweza na hawatoweza 🤣🤣🇮🇱🇮🇱
  7. KIPALI

    JamiiForums Tanzania Huwezi nishawishi Nyerere alikuwa Rais bora

    Wakati tunapata uhuru tulikuwa na wataalamu wa kutosha kudevelop mitaala?wewe vipi? Kenya na Uganda iliwasaidia ndiyo maana wapo hapo.Mzungu hauwezi kumkwepa tunanini tulichonacho siyo Cha mzungu?hapo sisi tulipo Kwa Africa mashariki hatuuziki popote pale tumebaki kusifia sifia tu choka mbaya...
  8. KIPALI

    JamiiForums Tanzania Huwezi nishawishi Nyerere alikuwa Rais bora

    Kimsingi alikuwa wa hovyoo kabisa yaani watu alitujegea hofu, alituharibia mfumo mzuri wa Elimu Kwa kuondoka mtaala wa Cambridge,aliamini katika umaskini,alipora mali za watu,alitutoa relini kabisa watanzania wanaomaliza vyuo vikuu vyetu ni kiwango cha kata, hawana fulsa ya kuajiriwa popote...
  9. KIPALI

    JamiiForums Tanzania Utamaduni wa Watanzania kudhani masuala ya siasa hayatuhusu utatugharimu sisi na vizazi vyetu

    Nyerere aliharibu sana hii nchi.Alituletea siasa ya hovyoo,Elimu alituharibia kabisa,watu wote walijengewa hofu,walipotaka kupata mageuzi aliingilia kati kumbuka 1995 Mrema alipotikisa nchi yeye akaingilia kati,watu walipodai Tanganyika yao alikataa haya yote ni kwakuwa aliamini Mawazo yake...
  10. KIPALI

    JamiiForums Tanzania Tuyatazame mambo ambayo Mwalimu Nyerere aliyafanya lakini matokeo yake ni hasi

    Mzee alikuwa wa hovyoo kabisa alitujegea hofu,alituharibia mfumo mzuri wa Elimu ndiyo maana hatuwezi shindana Kenya na Uganda aliamini katika umaskini,alikuwa na machawa wa kutosha wale waliosema zidumu fikra sahihi za mwalimu,alituingiza kwenye muungano wa ajabu unaosababisha tunapiga...
  11. KIPALI

    JamiiForums Tanzania Huenda TANAPA & NCAA zikazikwa kama Viwanda vilivyozikwa Tanganyika

    Watanganyika tumelala ulichoandika ni sahihi kabisa.Hebu fikiria mkuu wa nchi karuhusu kuchimba madini Serengeti unategemea nini?Kuna uhifadhi tena? watanganyika hatujitambui kabisa huyu Mama hana uchungu na rasilimali za bara
  12. KIPALI

    JamiiForums Tanzania Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

    Iran wasithubutu watajuta
Back
Top Bottom