Recent content by kip-korir

  1. kip-korir

    Tuambizane kiume, je ni sahihi kumrudia na kumuoa mwanamke mliyewahi kuachana baada ya yeye kuzaa na mtu mwingine?

    PICHA NI NYINGIIIIIIII!: Siku anakwenda Mahafali: MSINGI, SEKONDARI, CHUO Siku Anaoa/Kuolewa: UTAWEZA KUONA WAZAZI WAKIPIGA PICHA NA MWANA/BINTI yAO? UTAWEZA wewe?
  2. kip-korir

    Zalisha faida kwa uwekezaji mdogo katika UTT na Hati fungani

    Mnada wa HATIFUNGANI haufanyiki online. Unahitaji kujaza Fomu, kuwa na CDS namba, Akaunti pesa za ununzi zitskapochukuliwa na kuwekewa coupon kila baada ya miezi sita
  3. kip-korir

    Zalisha faida kwa uwekezaji mdogo katika UTT na Hati fungani

    Ni Sawa. Hata hivyo, tusiweke uhakika wa kuumwa tu. Tunaweka akiba kwa ajili ya siku zijazo tutakapokuwa hatuna vile vinavyotuingizia kipato. Hati Fungani za serikali bado zinahitajika sokoni. Mimi nahitaji Ndiyo. HATIFUNGANI ZINUZWA DSE
  4. kip-korir

    UTT amis, naomba kujua maana ya hii "growth scheme

    KUKUZA MTAJI kama unavyoiita GROWTH SCHEME ipo kwenye mifuko ya UTT-AMIS kama UKWASI au Mifuko mingine ya uwekezaji wa pamoja kama INUKA FUND, DOZEN FUND AFRIPRISE iTRUST TIMIZA na kadhalika. Menejiment ya Mifuko hii hufanya Uwekezaji aidha katika Hisa za Makampuni na au HATIFUNGANI za...
  5. kip-korir

    Challenge ya kusave pesa UTT

    hIyo itakuwa BOND FUND
  6. kip-korir

    Je! kati ya UTT Amis na CRDB, wapi kuna nafuu nikitaka kuwekeza?

    Nilinunua Vipande vya UTT Jul 2005 kwa Tshs 70 kwa kipande.
  7. kip-korir

    Nina 40M ninunue hisa CRDB, NMB au niwekeze UTT?

    ndugu, upo uwekezaji zaidi huo ulioutaja. upo ununzi wa HATIFUNGANI ZA SERIKALI, zipo Money Market Fund mbalimbali, uwekezaji kwenye REAL ESTATE. ushauri wangu: PELEKA AKIBA HIYO kwenye HATI FUNGANI KWA USALAMA WA FEDHA ZAKO. Endapo utafanikiwa kupata hatifungani ya miaka 25 na coupon ya...
  8. kip-korir

    Je! kati ya UTT Amis na CRDB, wapi kuna nafuu nikitaka kuwekeza?

    Usikate tamaa. Bila chochote huwezi kuwekeza. Wewe unacho kianzio, anza kuwekeza kuanzia hapo ulipo. Kila penye nia pana njia hivyo, ukiwa na malengo; mafanikio yapo mbele yako
  9. kip-korir

    Je! kati ya UTT Amis na CRDB, wapi kuna nafuu nikitaka kuwekeza?

    Uwekezaji ni imani. Unahitaji kujua mambo kadhaa kuhusu Bidhaa za UTT. Kwa mtaji wa milioni moja, iwapo utaweka Benki kama akiba; kwa mwaka mmoja unaweza kuambulia asilimia moja ya faida. Hii inatokana na Mabenki kuwa na tozo nyingi kwa fedha tunazotunza huko. Kwa upande wa UTT, utakapowekeza...
  10. kip-korir

    Je! kati ya UTT Amis na CRDB, wapi kuna nafuu nikitaka kuwekeza?

    SIYO KWELI. compare and contrast. Njoo na USHAHIDI usituhumu tu.
  11. kip-korir

    Je! kati ya UTT Amis na CRDB, wapi kuna nafuu nikitaka kuwekeza?

    Ntaka pitia hili andiko kwa uelewa zaidi kuhusu uwekezaji.
  12. kip-korir

    Challenge ya kusave pesa UTT

    Umefanya uamuzi wa busara Mzee wangu.
  13. kip-korir

    Aliyehudhuria mkutano wa wawekezaji UTT Amis

    Basi wako vizuri. Hata hivyo, riba kubwa imetolewa kwa mifuko ambayo haina gawio la kila mwezi kama BOND FUND.
  14. kip-korir

    Jinsi ya kupata mkopo kupitia dhamana ya UTT

    Benki inachukuwa moja kwa moja GAWIO la kila mwezi unalolipwa na UTT. Aidha, unatakiwa usahau pesa zako zilizopo UTT hadi utakapokamilisha malipo ya Mkopo. Unaweza kuchukuwa mkopo wa hadi 80% ya fedha ulizowekeza UTT. Hata hivyo, ni lazima mtaji uliowekeza uwe na gawio la kila mwezi. UTT hutoa...
Back
Top Bottom