PICHA NI NYINGIIIIIIII!:
Siku anakwenda Mahafali: MSINGI, SEKONDARI, CHUO
Siku Anaoa/Kuolewa: UTAWEZA KUONA WAZAZI WAKIPIGA PICHA NA MWANA/BINTI yAO?
UTAWEZA wewe?
Mnada wa HATIFUNGANI haufanyiki online.
Unahitaji kujaza Fomu, kuwa na CDS namba,
Akaunti pesa za ununzi zitskapochukuliwa na kuwekewa coupon kila baada ya miezi sita
Ni Sawa. Hata hivyo, tusiweke uhakika wa kuumwa tu. Tunaweka akiba kwa ajili ya siku zijazo tutakapokuwa hatuna vile vinavyotuingizia kipato.
Hati Fungani za serikali bado zinahitajika sokoni. Mimi nahitaji
Ndiyo. HATIFUNGANI ZINUZWA DSE
KUKUZA MTAJI kama unavyoiita GROWTH SCHEME ipo kwenye mifuko ya UTT-AMIS kama UKWASI au Mifuko mingine ya uwekezaji wa pamoja kama INUKA FUND,
DOZEN FUND
AFRIPRISE
iTRUST
TIMIZA na kadhalika.
Menejiment ya Mifuko hii hufanya Uwekezaji aidha katika Hisa za Makampuni na au HATIFUNGANI za...
ndugu, upo uwekezaji zaidi huo ulioutaja. upo ununzi wa HATIFUNGANI ZA SERIKALI, zipo Money Market Fund mbalimbali, uwekezaji kwenye REAL ESTATE.
ushauri wangu: PELEKA AKIBA HIYO kwenye HATI FUNGANI KWA USALAMA WA FEDHA ZAKO.
Endapo utafanikiwa kupata hatifungani ya miaka 25 na coupon ya...
Usikate tamaa. Bila chochote huwezi kuwekeza. Wewe unacho kianzio, anza kuwekeza kuanzia hapo ulipo. Kila penye nia pana njia hivyo, ukiwa na malengo; mafanikio yapo mbele yako
Uwekezaji ni imani.
Unahitaji kujua mambo kadhaa kuhusu Bidhaa za UTT.
Kwa mtaji wa milioni moja, iwapo utaweka Benki kama akiba; kwa mwaka mmoja unaweza kuambulia asilimia moja ya faida. Hii inatokana na Mabenki kuwa na tozo nyingi kwa fedha tunazotunza huko. Kwa upande wa UTT, utakapowekeza...
Benki inachukuwa moja kwa moja GAWIO la kila mwezi unalolipwa na UTT.
Aidha, unatakiwa usahau pesa zako zilizopo UTT hadi utakapokamilisha malipo ya Mkopo.
Unaweza kuchukuwa mkopo wa hadi 80% ya fedha ulizowekeza UTT. Hata hivyo, ni lazima mtaji uliowekeza uwe na gawio la kila mwezi. UTT hutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.